Mkuu shusha madini hapa ili kila mtu aelimike....huenda tukapata mtizamo tofauti kabisa.I better be mamluki kuliko huu upupu unaongea....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu shusha madini hapa ili kila mtu aelimike....huenda tukapata mtizamo tofauti kabisa.I better be mamluki kuliko huu upupu unaongea....
Huo ung'e ng'e sasa
Huo ung'e ng'e
Jay wa mitulinga ameresti lini bwashee…1. Mbowe Yuko huru, Sabaya Yuko jela.
2. Lissu Yuko hai, Jay ameresti forever....
Maisha hayana formula
Yan we k kweli wamasai wanadini au unaleta ujinga tuHuu ni ukweli tupu
Maza akoYan we k kweli wamasai wanadini au unaleta ujinga tu
Hivi Kunawamarekan wangap wanamiliki vitalu vya uindaji hapa Tanzania mbona cjasikia neno ukristo Ila mwarabu ndio utasikia uislm kwani wanapewa Bure auHili ni balaa kubwa sana,ni wakati muafaka Serekali ikalitafakari kwa umakini mkubwa.Ziara ya Mama huko Omani pamoja na masuala mengine mikataba ya madini,Utalii na Kilimo ilitiwa saini.
Kipengele cha UTALII ndio kimenitisha sana,isijekuwa Wamaasai wanaondolewa halafu Mwarabu anapewa ardhi yetu kwa kisingizio cha uhifadhi.
Nimeicopy, wakiifuta nitai-paste tena. Vinginevyo wanipige banHii komenti imeondolewa...
👇🏾
Maghayo said:
Ardhi tukufu za asili za wakristo zinaibiwa kupokonywa na kupewa waarabu. Wakristo ni wakati wa kumpigania Yesu sasa hivi. Hatutaki najis kwenye ardhi zetu.
We will fight for what is rightfully ours.
Mkuu usinichukulie poa kabisa. Cheki mida ya jioni navyoitendea haki black belt yangu.View attachment 2261273
MmmmmghJay wa mitulinga ameresti lini bwashee…
Una uhakika na hii habari yako au umeiokota tu uko ukaileta hapa?Kivipi, kwa hiyo unafurahia wakenya kuendelea kujinafasi huko ngorongoro na makundi yao ya ng'ombe kwa lengo la kudumaza utalii wa Tanzania, unazo akili kweli wewe au ni mamluki.....
Fuatilia habari za kiintelejensia zinavyosema, usikae kihasara hasara utakuta umeshakuwa koloni la kenya....Una uhakika na hii habari yako au umeiokota tu uko ukaileta hapa?