Wenyeviti wa vijiji Ngorongoro wasema hawajakubaliana kuondoka, Hawakusikilizwa na Waziri Mkuu

Wenyeviti wa vijiji Ngorongoro wasema hawajakubaliana kuondoka, Hawakusikilizwa na Waziri Mkuu

Hili ni balaa kubwa sana,ni wakati muafaka Serekali ikalitafakari kwa umakini mkubwa.Ziara ya Mama huko Omani pamoja na masuala mengine mikataba ya madini,Utalii na Kilimo ilitiwa saini.

Kipengele cha UTALII ndio kimenitisha sana,isijekuwa Wamaasai wanaondolewa halafu Mwarabu anapewa ardhi yetu kwa kisingizio cha uhifadhi.
Hivi Kunawamarekan wangap wanamiliki vitalu vya uindaji hapa Tanzania mbona cjasikia neno ukristo Ila mwarabu ndio utasikia uislm kwani wanapewa Bure au
 
Hii komenti imeondolewa...
👇🏾

Maghayo said:
Ardhi tukufu za asili za wakristo zinaibiwa kupokonywa na kupewa waarabu. Wakristo ni wakati wa kumpigania Yesu sasa hivi. Hatutaki najis kwenye ardhi zetu.

We will fight for what is rightfully ours.
Nimeicopy, wakiifuta nitai-paste tena. Vinginevyo wanipige ban
 
Kazi bado ipo. Hicho kizungu wanamweleza nani wakati serikalini wote wanaelewa kiswahili?
 
wanatumiwa hao wapigwe tu na wanaitumia Biblia vibaya aidha hawajui hata neno hilo linamainisha nini.hao ni wakenya na si watanzania wenye nia thabiti na nchi hii,serikali isijedanganyika na watu hao kwani hilo ni kaa la moto.ikaze kamba kwa maslahi mapana ya watz na siyo ya wamaasai tu kwani hao ni sehemu ndogo tu ya nchi.
 
Kivipi, kwa hiyo unafurahia wakenya kuendelea kujinafasi huko ngorongoro na makundi yao ya ng'ombe kwa lengo la kudumaza utalii wa Tanzania, unazo akili kweli wewe au ni mamluki.....
Una uhakika na hii habari yako au umeiokota tu uko ukaileta hapa?
 
Ila mama anayofanya kwenye ardhi ya bara inatisha! Yaani kama hana uchungu nayo kabisa kabisa!
Tule mafi yetu kwa kujifanya hatutaki katiba mpya na kutokupiga kura
 
Back
Top Bottom