kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,024
- 15,796
nioneshe rafiki zako nikuambie tabia yako, hii imekaaje mkuuDah mmoja hapo ni rafiki yangu wa karibu sana, Nina mengi nayofahamu ila Basi tu inauma sana mshkaji kuishia ivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nioneshe rafiki zako nikuambie tabia yako, hii imekaaje mkuuDah mmoja hapo ni rafiki yangu wa karibu sana, Nina mengi nayofahamu ila Basi tu inauma sana mshkaji kuishia ivi
Kwa mfululizo mzima wa kesi ya Sabaya imekuwa ikitajwa sabaya na wenzake watatu. Je, hao wenzake watatu ni akina nani? Na haiwezekani kutajwa majina yao? Naulizia tu.
Mfano:
Sabaya na wenzake watatu wahukumiwa Miaka 30 jela.
Tafuta bwana mwingine sabaya anaozea jela dada, naona unaangaika!!!
Mtanzania anayetokea maeneo ya wapi!?Mbura
Funguka vzr,Dah mmoja hapo ni rafiki yangu wa karibu sana, Nina mengi nayofahamu ila Basi tu inauma sana mshkaji kuishia ivi
Saa baya ndiye alikuwa DC na mkuu wa kikosi kzKwa mfululizo mzima wa kesi ya Sabaya imekuwa ikitajwa sabaya na wenzake watatu. Je, hao wenzake watatu ni akina nani? Na haiwezekani kutajwa majina yao? Naulizia tu.
Mfano:
Sabaya na wenzake watatu wahukumiwa Miaka 30 jela.
Sijui Kwa nini kijana sabaya alikuwa anafanya hivyoMwenye kesi ni huyo mpumbavu Sabaya Ndo maana hao wengine watu hawahangaiki nao.
Tunamzungumzia aliyekuwa Mkuu wa Wilaya, Yaani Mwenyekiti wa kamati ya Usalama wa wilaya. Unapata picha gani? Mtu mwenye dhamana kubwa kiasi hicho kukitumia cheo chake kunyang’anya raia mali zao kwa kutumia silaha?!
Kinachotuvutia hapa ni cheo na mtu aliyepewa cheo alivyobadilisha majukumu ya cheo.
Una intenet huwezi kutafuta? Watanzania tuache uvivu hata wa kufikiriaasante Maana sikuwa nawafahamu.
Wamekua wakitajwa sana. Baada ya kesi kuwa popular, vyombo vya habari vikawa vinatumia zaidi jina la Sabaya na kuziweka heading zao "Sabaya na wenzake"asante Maana sikuwa nawafahamu.
Yes. Kuna kesi ya uhujumu uchumi itaendelea huku akiwa tayari ni mfungwa.Inamaana bado kesi zingine? Mmmh
Kwa nini walikubali kuwa washirika wa mbaya Sabaya? Unafikiri kwenye matukio ya ujambazi, wote huwa majambazi? Wengine huwa ni washirika tu. Hawakutakiwa kushirikiana na jambazi Sabaya.Ila Hawa jamaa wamesombwa na ubaya wa sabaya na lawyers wao walikua very incompetent!
,nioneshe rafiki zako nikuambie tabia yako, hii imekaaje mkuu
Lawyer competent asingeweza kuchukua kesi iliyo wazi kama ya Sabaya kuwa upande wa utetezi, ni kujishushia profile yake tu.Ila Hawa jamaa wamesombwa na ubaya wa sabaya na lawyers wao walikua very incompetent!
Mwendazake ulimuonaje? Sabaya ameshaeleza mbele ya mahakama kwamba alifanya hayo kwa mbeleko ya nafasi ya uteuzi (JPM). Kumbuka Sabaya aliteuliwa ukuu wa wilaya huku akiwa anakabiliwa na kesi ya kugushi kitambulisho cha usalama wa Taifa na kujifanya ni mtumishi wa hicho chombo nyeti. Mwendazake ndiye chanzo cha haya yote.Sijui Kwa nini kijana sabaya alikuwa anafanya hivyo