Wenzake watatu wa Sabaya hawana majina?

Wenzake watatu wa Sabaya hawana majina?

Wamekua wakitajwa sana. Baada ya kesi kuwa popular, vyombo vya habari vikawa vinatumia zaidi jina la Sabaya na kuziweka heading zao "Sabaya na wenzake"

Mkuu, inaonekana interest ya hii kesi kwako imeanza mwishoni. Usijiaibishe zaidi.
Hapana nilikuwa naifuatilia japo si sana na hasa nilikuwa nabase kwa Sabaya mwenyewe
 
Hawa walikuwa Chawa wa Sabaya, imagine unafungwa jela sababu ya kuwa chawa.
Ila sizani kama walikuwa chawa.
Hao walikuwa vibalaka wake tu chawa wao hawazunguki nae wao ni kusifu hata wakiwa kwao.
 
Mwendazake ulimuonaje? Sabaya ameshaeleza mbele ya mahakama kwamba alifanya hayo kwa mbeleko ya nafasi ya uteuzi (JPM). Kumbuka Sabaya aliteuliwa ukuu wa wilaya huku akiwa anakabiliwa na kesi ya kugushi kitambulisho cha usalama wa Taifa na kujifanya ni mtumishi wa hicho chombo nyeti. Mwendazake ndiye chanzo cha haya yote.
Najaribu kuwaza tu: hivi waliopo na walio kuwepo wao si wahusika?
Maana kuna kipindi walitajwa mahakani na Sabaya
 
Kesi ya jinai bwana inaanza kama mvua za kiangazi sitaki nataka baada ya hukumu giza totoro linaigia machoni kama vile unaota kumbe kweli, sabaya kuna wakati alikuwa anakuja mahakamani anawasalimia watu kwa bashasha [emoji137][emoji137][emoji137][emoji137] hakuamini kilichotokea tar. 15.10.21.FUNZO: ukipata nafasi yeyote tumika kwa haki na unyenyekevu duniani tunapita
 
Kesi ya jinai bwana inaanza kama mvua za kiangazi sitaki nataka baada ya hukumu giza totoro linaigia machoni kama vile unaota kumbe kweli, sabaya kuna wakati alikuwa anakuja mahakamani anawasalimia watu kwa bashasha [emoji137][emoji137][emoji137][emoji137] hakuamini kilichotokea tar. 15.10.21.FUNZO: ukipata nafasi yeyote tumika kwa haki na unyenyekevu duniani tunapita
Hata Siku ya hukumu aliingia kwa tabasamu lote huku akimcheki na mchumba kwa pembeni dah!!!
 
Najaribu kuwaza tu: hivi waliopo na walio kuwepo wao si wahusika?
Maana kuna kipindi walitajwa mahakani na Sabaya
Turekebishe KATIBA yetu (tupate KATIBA MPYA) ili kusiwe na mtu anayekua juu ya sheria.
 
Najaribu kuwaza tu: hivi waliopo na walio kuwepo wao si wahusika?
Maana kuna kipindi walitajwa mahakani na Sabaya
Unauliza waliopo, kama mwendakuzimu angekuwepo hata haya madudu ya Sabaya usingeyajua.
 
Hapana nilikuwa naifuatilia japo si sana na hasa nilikuwa nabase kwa Sabaya mwenyewe
Na kwakua hukua umefuatilia matendo ya Sabaya tangu huko nyuma, utakua uliona kama anaonewa. Lazima umeshangaa hukumu yake.
 
Pole sana mkuu najua inauma japo kuna team itakuja humu kukuponda juu ya jamaa yako.
Kama umeumia sana, mkuu, sabaya kula mvua, liombe bunge pawe na sheria ya kutumikia kifungo kwa niaba ya mtu wingine ili uende kutumikia yeye atoke ndani!!!na kesho nadhani ataonekana na PALA, sio tena lile panki lake la kupalama na kuchumpa!!ila maisha haya.
 
Kama umeumia sana, mkuu, sabaya kula mvua, liombe bunge pawe na sheria ya kutumikia kifungo kwa niaba ya mtu wingine ili uende kutumikia yeye atoke ndani!!!na kesho nadhani ataonekana na PALA, sio tena lile panki lake la kupalama na kuchumpa!!ila maisha haya.
😭😭😭 bora kuwepo na hiyo sheria ili nikamsaidie Sabaya 😭😭😭.

Mimi ninatoa pole kwa mdau aliye sema kati ya watu watatu walio jumuishwa na Sabaya ni jamaa yake harafu wewe unakuja kusema Sabaya nini.
 
Back
Top Bottom