Wenzangu mnaotumia unlimited internet huwa mnatumia net kwenye nini hadi kuvuka matumizi ya GB 1000 (1 TB) mpaka mnaanza kulalamika kupunguzwa speed

Wenzangu mnaotumia unlimited internet huwa mnatumia net kwenye nini hadi kuvuka matumizi ya GB 1000 (1 TB) mpaka mnaanza kulalamika kupunguzwa speed

Movie 1@4k remux 60gb + ,ujastream ,ujirani mwema na washkaji,games Zina fika mpaka gb100 nowdays (bila updates)
 
Ukiachana na hizi Fiber, mtandao gani wanatoa huduma ya Internet Unlimited kwa mwezi?
Na mimi nasubiri majibu maan nimenunua hapa tablet yangu storage pekee Ina 1TB ram 16GB yani nashindwa hata Cha kulijaza, ukizingatia hiyo speed.
 
Back
Top Bottom