Wenzetu sikukuu zenu mnatuvunja moyo.

Wenzetu sikukuu zenu mnatuvunja moyo.

Haiwezi ikawa ni kubahatisha,
Sehemu kubwa ya msiokuwa Waislam
(Wengi wenu)
Ni wabinafsi, wachoyo,
Hamna haya na Mnapata dhambi linapokuja swala la kushereheka na marafiki pamoja na majirani hasa katika sherehe/sikukuu za kiimani
Mfano: Iddi,Pasaka,Krismas,Maulid n.k.

Nyie mabwana kwa mabibi, mmekuwa mahodari wa kujialika, tena wenyewe majumbani mwa Waislam katika sikukuu zao
Na Waislam bila ya hiyana wamekuwa wakiwapokea kwa mikono viwili na kupokonyana chochote kikichopo bila ya kubagua.
Achilia mbali kero zenu kipindi cha Ramadan,
Mara futari,mara Uji yaani shida.
Ila sasa kwenye sherehe zenu,
Kama hampo vile.
Aaa, acheni hizo.

Mkijua kula mjue na kuliwa basi.

La kama hamtaki vyenu kuliwa msirukwe na akili kwenye mapilau na mabiriani ya wenzenu.

Kweli Mimi wa kula kama kawaida siku ya Leo?
Poa tutakutana mwakani.
Au kwa sababu mbuzi wangu nimemchinja mwenyewe??
 
Haiwezi ikawa ni kubahatisha,
Sehemu kubwa ya msiokuwa Waislam
(Wengi wenu)
Ni wabinafsi, wachoyo,
Hamna haya na Mnapata dhambi linapokuja swala la kushereheka na marafiki pamoja na majirani hasa katika sherehe/sikukuu za kiimani
Mfano: Iddi,Pasaka,Krismas,Maulid n.k.

Nyie mabwana kwa mabibi, mmekuwa mahodari wa kujialika, tena wenyewe majumbani mwa Waislam katika sikukuu zao
Na Waislam bila ya hiyana wamekuwa wakiwapokea kwa mikono viwili na kupokonyana chochote kikichopo bila ya kubagua.
Achilia mbali kero zenu kipindi cha Ramadan,
Mara futari,mara Uji yaani shida.
Ila sasa kwenye sherehe zenu,
Kama hampo vile.
Aaa, acheni hizo.

Mkijua kula mjue na kuliwa basi.

La kama hamtaki vyenu kuliwa msirukwe na akili kwenye mapilau na mabiriani ya wenzenu.

Kweli Mimi wa kula kama kawaida siku ya Leo?
Poa tutakutana mwakani.


Pale Gerezani kuna grisi zinagawiwa bure toka wiki iliyopita mpaka wiki ya kwanza ya mwaka mpya. Ziwahi kabla ya wenzako.
 
Au kwa sababu mbuzi wangu nimemchinja mwenyewe??
Shetani wa Uchoyo kaitawala nafsi yako unatafuta visingizio.
Kwani sikukuu zangu mchinjaji huwa wewe hadi upate uhalali wa kujialika?
 
Angemkuna ya mama ake ingekuwa bora na wewe ungekuna mama ake na Dada ako au shangazi yako ingekuwa poa
 
Angemkuna ya mama ake ingekuwa bora na wewe ungekuna mama ake na Dada ako au shangazi yako ingekuwa poa

Jifunze kuandika lugha fasaha kisha,
Uanze kuandika matusi yako.

Vinginevyo kwa sasa nakuona
U-mwanaharam alie mjinga.

Lakini ukishajua kuandika utakuwa mwanaharasha mwerevu.
 
Nina jirani muislam, juzi wife kampelekea chakula km yeye alivyotuletea wakati wa idd. Dah, jamaa kumbe alimwaga chakula kwa kigezo kimetoka kwa kafiri. Nimeumia Sana. Nimejitahidi kumchinja njoo wangu kwa sheikh, lkn jamaa kumbe itikadi kali. Wengine nimekula nao home Fresh tu. Namsoma kwanza akija azima panga ndipo atakaponijua.
 
Nina jirani muislam, juzi wife kampelekea chakula km yeye alivyotuletea wakati wa idd. Dah, jamaa kumbe alimwaga chakula kwa kigezo kimetoka kwa kafiri. Nimeumia Sana. Nimejitahidi kumchinja njoo wangu kwa sheikh, lkn jamaa kumbe itikadi kali. Wengine nimekula nao home Fresh tu. Namsoma kwanza akija azima panga ndipo atakaponijua.
Huyo atakuwa mpumbavu na sio shihihi kumnyamazia.

Unapaswa kumuambia wazi hukupendezwa na ikibidi mwisho wa yeye nae kukuletea mavyakula yake.

Watu wanafanya kwa upendo tu si kuwa kuna anaetegemea aishi kwa vyakula vya msimu wa sikukuu.
 
Hahahahahaha ....mleta uzi umenifurahisha sana leo yan nimecheka mpk bac....
 
Back
Top Bottom