Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,380
Kuna mwanachama mwenzetu anayejiita MwenyeNeema amenitumia email hii:
Kwa niaba ya wana JF wenzangu (ambao hawataandika wenyewe) na kwa niaba ya safu ya uendeshaji wa JF tunapenda kutoa salaam zetu za rambi rambi kwa mwenzetu MwenyeNeema kwa msiba huu.
Pole ndugu yetu na Mungu akujalie uvumilivu katika kipindi hiki kigumu
MwenyeNeema said:Hi Familia ya Jamii Forums,
Ninajisikia kuwashirikisha katika msiba wa mwanangu binti yangu mpendwa Mary, aliyefariki kwa ajali ya gari tarehe 25 August 2009 na kuzikwa tarehe 27 August 2009.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, lihimidiwe jina lake.
Ni kipindi kigumu kwangu lakini kwa faraja ya Mwenyezi Mungu na ninyi wenzangu, kipindi hiki kigumu sana kitapita.
Kwa niaba ya wana JF wenzangu (ambao hawataandika wenyewe) na kwa niaba ya safu ya uendeshaji wa JF tunapenda kutoa salaam zetu za rambi rambi kwa mwenzetu MwenyeNeema kwa msiba huu.
Pole ndugu yetu na Mungu akujalie uvumilivu katika kipindi hiki kigumu