Wenzetu wenye Akili Yanga SC Chief Scout wao ni Ali Mayai wanafanya vyema, Sisi Matutusa tumeletewa Tutusa la Kiholanzi Kutusajilia

Wenzetu wenye Akili Yanga SC Chief Scout wao ni Ali Mayai wanafanya vyema, Sisi Matutusa tumeletewa Tutusa la Kiholanzi Kutusajilia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ali Mayai pamoja na kwamba Wewe ni Yanga SC ila nakukubali mno kwa kujua Kwako Mpira ambao pia Umeucheza kwa Mafanikio kwa ngazi ya Klabu na Timu ya Taifa.

GENTAMYCINE natambua kuwa kwa 99.99% huu Usajili wa Wachezaji mahiri wa Yanga SC ( hasa hawa wa Kigeni ) umetokana na Jicho lako Kali la Kiufundi huku Usajili wa ndani ( Wachezaji wa Ndani ) Kazi nzuri inafanywa na Kaka yangu Mtoto wa Mjini Ramadhan Kampira.

Wakati Yanga SC ikiwa na Local Scouts hawa ( Mayai na Kampira ) inafanya vyema huko ( kule ) Simba SC tumeletewa Tutusa la Kiholanzi yaani limekaa weeeeeee Tandale Uzuri likapata na Mademu wa Kiswahili na muda mwingi linashinda Runingani kutazama Soka la Bongo na la Ulaya huku likiwa limevalia Jezi Feki ya Simba SC leo ndiyo anateuliwa kuwa Chief of Scout wa Simba SC.

Simba SC hii ninayoifahamu Mimi Chief of Scout angekuwa ni Poti wangu na Tajiri Crescetius Magori au Beki wetu Katili wa zamani na Mfia Timu Boniface Pawassa au Nahodha wetu Msomi wa zamani na Mtoto wa Mikocheni A Renatus Njohole ( aishiye Switzerland kwa sasa ) wangefanya vyema Kiusajili kuliko hili Tutusa la Kiholanzi liishilo Tandale na Jezi yake Feki ya Simba SC.

Na hata Mimi tu GENTAMYCINE ningeteuliwa hiyo Nafasi ya Chief of Scout na nikapewa Fungu na niruhusiwe Kuchagua Wasaidizi wangu Wawili tu ( Watu wa Mpira hasa ) nina uhakika ningetafuta Wachezaji wangu hatari Saba ( 7 ) kisha ningewaambia Simba SC ( Uongozi ) kuwa kama Wachezaji niliowaleta Mimi wasipofanya maajabu na Kuifikisha Simba SC ama Nusu Fainali ya CAFCL au Fainali ya CAFCC ya Msimu ujao na Kuchukua Ubingwa Waninyonge Hadharani kama sehemu ya Adhabu yangu.

Na najua Mashabiki wa Simba SC tulivyo Matutusa ( Majuha ) basi hii Taarifa ya huyu Tapeli wa Kiholanzi aishiye Tandale na Jezi yake Feki ya Simba SC Mels Daalder tutaifurahia Usiku Kucha na Mchana kuliko hata Yanga SC ambao wameshatuacha Kimafanikio na huenda tarehe 28 May, 2023 wakaanza Kuushangilia Ubingwa wa CAFCC na tarehe 3 June, 2023 wakauchukua kabisa mbele ya Ardhi ya Mwarabu Kwake nchini Algeria.

Kama tu Mwekezaji Wetu ni Samjo Samjo Panjuani ( Muongo Muongo Tapeli ) aliyetuambia katuwekea Tsh 20 Billion ( zisizoonekana katika Benki yoyote hapa Tanzania ) unategemea asiendelee tu Kutuletea na Kututeulia Masamjo Panjuani Wenzake?

Kuna Mambo yananikasirisha sana!!!
 
Nampongeza Mo kwa angalau hata kupata wazo la kuajiri "scout" kitu ambacho tumekipigia kelele sana hapa jamvini. Ni mapema sana kumuhukumu huyu mzungu aliyeletwa kuifanya hiyo kazi. Tumuache kwanza afanye kazi tumuone ndio tumuhukumu.

Lakini kwa mtizamo wangu nafikiri huyo mzungu kwa kuanzia awe mkuu wa kitengo lakini chini awe na wasaidizi wa kushauriana nae ambao watatokana na wachezaji wa zamani wa Simba wenye uchungu wa timu na ambao wana taaluma ya ukocha na uzoefu wa soka la bongo na la Afrika kwa ujumla wake. Kikubwa tu huyo mzungu awe na maamuzi ya mwisho kwani ndiye atakayewajibika pale ambapo yatakapoharibika.

Simba ina hazina ya watu kama Kibadeni, Pawasa, Mtemi Ramadhani, Jamhuri Kiwelu, Amri Said, Mwameja, Kaseja, Duwa Said, Masatu, Mogella, Amri Kiemba, Boko na wengine wengi ambao miongoni mwao wanaweza kuchaguliwa wachache wa kuweza kusaidiana nae. Ni hatari sana kumuachia mgeni tena mtu mmoja hilo jukumu peke yake pamoja na kwamba mara nyingi anakuja kutembelea Tanzania na Afrika. Walau akiwa na watu watatu mpaka watano wakushauriana nae itamsaidia hata yeye kufanya kazi yake kwa ufanisi.

Ni mtizamo tu.
 
Ali Mayai pamoja na kwamba Wewe ni Yanga SC ila nakukubali mno kwa kujua Kwako Mpira ambao pia Umeucheza kwa Mafanikio kwa ngazi ya Klabu na Timu ya Taifa.

GENTAMYCINE natambua kuwa kwa 99.99% huu Usajili wa Wachezaji mahiri wa Yanga SC ( hasa hawa wa Kigeni ) umetokana na Jicho lako Kali la Kiufundi huku Usajili wa ndani ( Wachezaji wa Ndani ) Kazi nzuri inafanywa na Kaka yangu

Kuna Mambo yananikasirisha sana!!!
Ebana nakuelewaga saana japo unakuaga na mauza uza ila hili tupo pamoja japo simfahamu huyo mholanzi lakini huyu Masamjo Panjuani ananikera saana
 
Nampongeza Mo kwa angalau hata kupata wazo la kuajiri "scout" kitu ambacho tumekipigia kelele sana hapa jamvini. Ni mapema sana kumuhukumu huyu mzungu aliyeletwa kuifanya hiyo kazi. Tumuache kwanza afanye kazi tumuone ndio tumuhukumu. Lakini kwa mtizamo wangu nafikiri huyo mzungu kwa kuanzia awe mkuu wa kitengo lakini chini awe na wasaidizi wa kushauriana nae ambao watatokana na wachezaji wa zamani wa Simba wenye uchungu wa timu na ambao wana taaluma ya ukocha na uzoefu wa soka la bongo na la Afrika kwa ujumla wake. Kikubwa tu huyo mzungu awe na maamuzi ya mwisho kwani ndiye atakayewajibika pale ambapo yatakapoharibika.

Simba ina hazina ya watu kama Kibadeni, Pawasa, Mtemi Ramadhani, Jamhuri Kiwelu, Amri Said, Mwameja, Kaseja, Duwa Said, Masatu, Mogella, Amri Kiemba, Boko na wengine wengi ambao miongoni mwao wanaweza kuchaguliwa wachache wa kuweza kusaidiana nae. Ni hatari sana kumuachia mgeni tena mtu mmoja hilo jukumu peke yake pamoja na kwamba mara nyingi anakuja kutembelea Tanzania na Afrika. Walau akiwa na watu watatu mpaka watano wakushauriana nae itamsaidia hata yeye kufanya kazi yake kwa ufanisi.

Ni mtizamo tu.
Kwann moo anaamini sana watu weupe??
 
INSHORT.

Jamaa yupo kama chambo tu
Danganya Toto. Hawezi kufanya usajili wa mchezaji yoyote

Simba wametafuta sehemu ya kudanganyishia mashabiki,
Kichaka Cha kujifichia.NA KUWAPOTEZA yanga maboya.

Trending ya yanga ilikuwa kubwa Kila kona na mitandaoni .
wamepata Agenda mbili za kupunguza moto wao

1. SCAUT.
2. MICHANGO YA FEITOTO.

MO ACHA CHPLI CHUPLI.
MPIRA NI UWEKEZAJI YANGA WANATAMBA MIAKA MI WILI LIGI NA FA KWA SABABU YA UWEKEZAJI WAO..

MUHINDI BAHILI MNO.
SIJAWAHI KUONA TAJIRI WA KIHINDI ANAMILIKI TIMU ZAIDI YA MWAMEDI
 
Ali Mayai pamoja na kwamba Wewe ni Yanga SC ila nakukubali mno kwa kujua Kwako Mpira ambao pia Umeucheza kwa Mafanikio kwa ngazi ya Klabu na Timu ya Taifa.

GENTAMYCINE natambua kuwa kwa 99.99% huu Usajili wa Wachezaji mahiri wa Yanga SC ( hasa hawa wa Kigeni ) umetokana na Jicho lako Kali la Kiufundi huku Usajili wa ndani ( Wachezaji wa Ndani ) Kazi nzuri inafanywa na Kaka yangu Mtoto wa Mjini Ramadhan Kampira.

Wakati Yanga SC ikiwa na Local Scouts hawa ( Mayai na Kampira ) inafanya vyema huko ( kule ) Simba SC tumeletewa Tutusa la Kiholanzi yaani limekaa weeeeeee Tandale Uzuri likapata na Mademu wa Kiswahili na muda mwingi linashinda Runingani kutazama Soka la Bongo na la Ulaya huku likiwa limevalia Jezi Feki ya Simba SC leo ndiyo anateuliwa kuwa Chief of Scout wa Simba SC.

Simba SC hii ninayoifahamu Mimi Chief of Scout angekuwa ni Poti wangu na Tajiri Crescetius Magori au Beki wetu Katili wa zamani na Mfia Timu Boniface Pawassa au Nahodha wetu Msomi wa zamani na Mtoto wa Msasani Kisiwani Renatus Njohole ( aishiye Sweden kwa sasa ) wangefanya vyema Kiusajili kuliko hili Tutusa la Kiholanzi liishilo Tandale na Jezi yake Feki ya Simba SC.

Na hata Mimi tu GENTAMYCINE ningeteuliwa hiyo Nafasi ya Chief of Scout na nikapewa Fungu na niruhusiwe Kuchagua Wasaidizi wangu Wawili tu ( Watu wa Mpira hasa ) nina uhakika ningetafuta Wachezaji wangu hatari Saba ( 7 ) kisha ningewaambia Simba SC ( Uongozi ) kuwa kama Wachezaji niliowaleta Mimi wasipofanya maajabu na Kuifikisha Simba SC ama Nusu Fainali ya CAFCL au Fainali ya CAFCC ya Msimu ujao na Kuchukua Ubingwa Waninyonge Hadharani kama sehemu ya Adhabu yangu.

Na najua Mashabiki wa Simba SC tulivyo Matutusa ( Majuha ) basi hii Taarifa ya huyu Tapeli wa Kiholanzi aishiye Tandale na Jezi yake Feki ya Simba SC Mels Daalder tutaifurahia Usiku Kucha na Mchana kuliko hata Yanga SC ambao wameshatuacha Kimafanikio na huenda tarehe 28 May, 2023 wakaanza Kuushangilia Ubingwa wa CAFCC na tarehe 3 June, 2023 wakauchukua kabisa mbele ya Ardhi ya Mwarabu Kwake nchini Algeria.

Kama tu Mwekezaji Wetu ni Samjo Samjo Panjuani ( Muongo Muongo Tapeli ) aliyetuambia katuwekea Tsh 20 Billion ( zisizoonekana katika Benki yoyote hapa Tanzania ) unategemea asiendelee tu Kutuletea na Kututeulia Masamjo Panjuani Wenzake?

Kuna Mambo yananikasirisha sana!!!
Kuna kipindi nadhani Njohole alijitahidi kupenyapenya pale Simba ili kuwaunganisha na dunia lakini akakutana ukuta mzito sana.
Ila Pawasa umeongea vyema sana, mbali kucheza mpira, Pawasa pia ni mtambuzi mzuri sana
 
Back
Top Bottom