Kwe kwe kwe kwe! Ungekuwa na ndoa nae usingemtelekeza safari ya tanga.Mimi na Lily Flower tumefunga ndoa. kwahiyo maombi ya Vin Diesel hayatakuwa na baraka za Mungu
Hehehe, afu huezi amini Mungi na kunitaja kote bado sijamlisha kitu, nikimlisha si ndio itakuwa balaa Mr Rocky? Nahisi atahamia getini kwetu kabisa lol.Baba V huwezi jua aise
Hebu muulize na Mungi amepewa nini na yeye maana licha ya kuwa yuko na Lily Flower haachi kumtaja sweetlady
We, tena unikomesweetlady alisharudi kwangu....hakuna jingine jipya Blaki Womani....
Mkuu Arushaone mbona huo usemi ni wa kawaida tu? naamini my Lily Flower hakumaanisha unachokiwaza
Kwe kwe kwe kwe! Ungekuwa na ndoa nae usingemtelekeza safari ya tanga.
Hahahaha! Tuli enjoy kupita maelezo Arushaone, pole yake Lily Flower.Taarifa zako sweetlady na Mungi tunazo na hata sababu ya kutokwenda TANGA tushajua! Ila mlienjoy sana! Maskini Lily Flower!!
Maombi yangu ni kuwa siku moja Lily Flower aje awe nyumba yangu ndogo na Mungi awekwe selo maisha
Vin Diesel apotelee misitu ya kongo kule kwa M23 ili nae Mamndenyi awe house gal wetu
Taarifa zako sweetlady na Mungi tunazo na hata sababu ya kutokwenda TANGA tushajua! Ila mlienjoy sana! Maskini Lily Flower!!
Weee na wewe koma ukomae, nani house girl wenu? Naona unanifananisha na King'asti weweweeeeeeeeeeee tena koma kutaka kunivunjia ndoa yangu na Lily Flower! afu ujue sweetlady ni housegirl wetu
Kwe kwe kwe kwe! Ungekuwa na ndoa nae usingemtelekeza safari ya tanga.
Hahahaha! Tuli enjoy kupita maelezo Arushaone, pole yake Lily Flower.
Ayaa zile dawa za TA Lily Flower kumbe umemnywesha Mungi mapema ivo?