Hehehehe! Utajiju kama ikivunjika!..... Natamani Lily Flower aende tena tanga ili twende tuka enjoy tena .I hope this will not break my goog relation wth my Lily Flower
Ukome kuniletea copy, nishasema mwaka mpya , mambo mapya...niko mbioni kwenda kusomea u sister nimeanza kujaza form ya utangulizi so plz msinitengulie udhu mwana wa mwenzenu!
Mungi kwani huwa wanadumu nayo milele au huwa katikati huko inaondolewa na wenye nguvu za kuiondoaWenye bikra ndo wana kwalifikesheni ya kusomea usista..................... kama unayo tunakutakia safari njema,
copy: nitonye, Filipo, Mr Rocky, Asprin, Vin Diesel, Blaki Womani
Hahaaaaaaaaaaa nimekuelewa mkuu............... unamaanisha sikuhizi kuna bikra za kichina
Eti sweetlady we ni bikira?Wenye bikra ndo wana kwalifikesheni ya kusomea usista..................... kama unayo tunakutakia safari njema,
copy: nitonye, Filipo, Mr Rocky, Asprin, Vin Diesel, Blaki Womani
Safari tunaenda na Mungi huna taarifa, pole.Hehehehe! Utajiju kama ikivunjika!..... Natamani Lily Flower aende tena tanga ili twende tuka enjoy tena .
Eti sweetlady we ni bikira?
Duh! Ebwana eeeeeeee:confused2::confused2:Mtu kapitia ndoa 6 na bado awe bikira...mweeeh.
Kwani wewe unadhani tunaongelea bikira ipi? Upunguzege umbea babu wewe, utajasutwa siku sio zakoMtu kapitia ndoa 6 na bado awe bikira...mweeeh.
Vile ulimkuta Lily Flower kaweka ya kichina basi unadhani watu wote tunaweka eeh!Hahaaaaaaaaaaa nimekuelewa mkuu............... unamaanisha sikuhizi kuna bikra za kichina
Ahsante, nikiwa jimboni ntawaombea sana wewe na Filipo mpunguze dhambi.Wenye bikra ndo wana kwalifikesheni ya kusomea usista..................... kama unayo tunakutakia safari njema,
copy: nitonye, Filipo, Mr Rocky, Asprin, Vin Diesel, Blaki Womani
Hiyo siku ikifika ndio utajua ikoje.Yaani Mke wangu Lily Flower ameniweka kwenye chupa, na we beki tatu unataka kuniweka kwenye chupa hii ikoje jamani!
Copy kwa nitonye pia lol. Mie pia moyo unakaribia kung'oka hapa, hebu wahianakuja fasta my dear sweetlady nilichanganya madesa mi nikikusikia tuu moyo wangu unadunda paa na napoteza netiweki
copy kwa Mungi na Vin Diesel na Erickb52