Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kusherekea Mwaka mpya nikiwa kwenye server ya Jf, hatimaye sasa naripoti kwenu waungwana nimefunguliwa wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Nina amani sana, nina furaha sana thanks Ban ilikuwa ya siku tatu. Pia nawapongeza Mods kuwa makini na kazi yao, kwa kweli siwalaumu kufanya majukumu yao, kwani nilipelekwa selo kwa kufanya kosa la the so called "Name Calling". Tunte ni noma dah!
Niliwamiss sana wadau kama akina uncle wangu Preta, mke wangu Lily Flower, msumbufu sweetlady, braza Filipo, shemeji yangu wa ukwe marejesho, adui yangu nitonye, masharobaro Mr Rocky na Erickb52, my lovely mum Blaki Womani, mwenyekiti wangu PakaJimmy, katibu wangu Mzee wa Rula, marafiki zangu Arushaone, LiverpoolFC, charminglady, Kipipi, Madame B, Ciello King'asti Judgement, Chimbuvu, Asprin, IGWE, Arabela, Dark City, Kaizer, KOKUTONA, amu, Smile, watu8, cacico, Mamndenyi, Marry Hunbig, stevoh, @FP, Bishanga, Zion Daughter, manoah, Mwanyasi, dudupori, na wengineo wengi kwa kweli nawapenda sana,
HERI YA MWAKA MPYA 2013, MBARIKIWE SANA MWAKA HUU UWE MWAKA WA MAFANIKIO.
Mungi
Najua, halafu si nshakwambia kule kwenye thread yako kuwa KESHO aLHAMIS natia timu maeneo ILI kuendeleza dozi na kufanya dressing?Keruuuuuuuuuuuuuuuuuu................!!!!!!!!!!!!!! PakaJimmy, unajua hali ya mgonjwanwako inavoendelea au unang'aa sharubu tu...............
Khaaa!! Tell me its not true...Inabidi mfanyie kazi jambo hili mapema ..hizi zinageukaga life banUnaweza ukawa mtabiri wewe maana toka nirudi toka Tanga hatujaonana atiii......ban la nyumbani laendelea.
Hapo sasa.....ila nitonye ana chuki gani naye tena....hebu muulize mtoto wako bhana....huu ni mwaka mpya bana.
Kweli hii sio dalili nzuri..anaweza kujikuta anakula ban kila idara hata kwa mkewe Lily Flower
Najua, halafu si nshakwambia kule kwenye thread yako kuwa KESHO aLHAMIS natia timu maeneo ILI kuendeleza dozi na kufanya dressing?
![]()
Najua, halafu si nshakwambia kule kwenye thread yako kuwa KESHO aLHAMIS natia timu maeneo ILI kuendeleza dozi na kufanya dressing?
![]()