Baada ya kusherekea Mwaka mpya nikiwa kwenye server ya Jf, hatimaye sasa naripoti kwenu waungwana nimefunguliwa wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Nina amani sana, nina furaha sana thanks Ban ilikuwa ya siku tatu. Pia nawapongeza Mods kuwa makini na kazi yao, kwa kweli siwalaumu kufanya majukumu yao, kwani nilipelekwa selo kwa kufanya kosa la the so called "Name Calling". Tunte ni noma dah!
Niliwamiss sana wadau kama akina uncle wangu
Preta, mke wangu
Lily Flower, msumbufu
sweetlady, braza
Filipo, shemeji yangu wa ukwe
marejesho, adui yangu
nitonye, masharobaro
Mr Rocky na
Erickb52, my lovely mum
Blaki Womani, mwenyekiti wangu
PakaJimmy, katibu wangu
Mzee wa Rula, marafiki zangu
Arushaone,
LiverpoolFC,
charminglady,
Kipipi,
Madame B,
Ciello King'asti Judgement,
Chimbuvu,
Asprin,
IGWE,
Arabela,
Dark City,
Kaizer,
KOKUTONA,
amu,
Smile,
watu8,
cacico,
Mamndenyi,
Marry Hunbig,
stevoh, @FP,
Bishanga,
Zion Daughter,
manoah,
Mwanyasi,
dudupori, na wengineo wengi kwa kweli nawapenda sana,
HERI YA MWAKA MPYA 2013, MBARIKIWE SANA MWAKA HUU UWE MWAKA WA MAFANIKIO.
Mungi