Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Mungi usiwe na wasi wasi Kipipi atakuwa kwenye mikono salama na atarudi akiwa na kizygote.
Erickb52 mbona una mpango wa kuingia kwenye tego aise hivi hujui tanga ndo kwenyewe nahisi tutakuacha pale Bombo hospital
Blaki Womani muache Arushaone hata aje atusalimie bana
Mzee wa Rula siku hiyo tutaomba uache ulokole pembeni aise
Preta mbona ombi langu umelichunia na alisisitiza Lily Flower aise
Filipo mbona sijamsikia marejesho au aliishia survey kwa akina Asprin na Bishanga
Dena Amsi sijui kaishia wapi au anataka mpaka apigwe short ya umeme ndo ashtuke
sweetlady, gfsonwin, snowhite niaje aise nawasalimia sana

@
Tego kwa nani sasa? Kipipi ? Hapo sina shida nishazoea hadi chupani
 
Last edited by a moderator:
There are currently 13 users browsing this thread. (7 members and 6 guests)

nyie hapo kwenye blue ni kina nani......? si muingie ndani......mnachungulia nini....?
Kwani hujavaa ya ndani Preta ?? Hata akichungulia hataona kitu
 
Last edited by a moderator:
ErickB2,Arushaone, Mungi lazima wapo hapo wanaogopa kuingia maana uzi umekuwa mchungu kwao.
Nawaonea huruma sana jinsi watakavyo kuwa lonely
Hahahahaaa nilikuwa nawaangalia wanaonijungukia km wewe Ruttashobolwa lawyer koko lol
 
Last edited by a moderator:
Mie nimejitolea kuzibeba toka Arusha PJ ! Sema lingine

marejesho mi sitaki viagra korosho zinanitosha so niagizie Mtwara...yan korosho moja nanii moja so waambie niliowabuku watapata matatu matatu
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha huo ndio ukweli ulikuwa umejificha na kuhakikishia wewe hutorudi Arusha lazima tukuache barabara ya 7 maana lazima unase!

Hahahahaaa nilikuwa nawaangalia wanaonijungukia km wewe Ruttashobolwa lawyer koko lol
 
Last edited by a moderator:
nikikupa aaah utalewa eeeh nikikunyima huruma aaaaa
nikikupa kupa kupa utalewaaa na nikikunyimaaaaa huruma!
nshachoka mie
nshachoka miie
hoi hoi
nshachoka mie..........

hah hah hah hah! Haya bana!
 
hah hah hah hah! Haya bana!

bora manake semi trela hii!behewa mia 800 mchez
Pajero2+for+sale.jpg
o!
 
Back
Top Bottom