Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Tego kwa nani sasa? Kipipi ? Hapo sina shida nishazoea hadi chupani
 
Last edited by a moderator:
There are currently 13 users browsing this thread. (7 members and 6 guests)

nyie hapo kwenye blue ni kina nani......? si muingie ndani......mnachungulia nini....?
Kwani hujavaa ya ndani Preta ?? Hata akichungulia hataona kitu
 
Last edited by a moderator:
ErickB2,Arushaone, Mungi lazima wapo hapo wanaogopa kuingia maana uzi umekuwa mchungu kwao.
Nawaonea huruma sana jinsi watakavyo kuwa lonely
Hahahahaaa nilikuwa nawaangalia wanaonijungukia km wewe Ruttashobolwa lawyer koko lol
 
Last edited by a moderator:
Mie nimejitolea kuzibeba toka Arusha PJ ! Sema lingine

marejesho mi sitaki viagra korosho zinanitosha so niagizie Mtwara...yan korosho moja nanii moja so waambie niliowabuku watapata matatu matatu
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha huo ndio ukweli ulikuwa umejificha na kuhakikishia wewe hutorudi Arusha lazima tukuache barabara ya 7 maana lazima unase!

Hahahahaaa nilikuwa nawaangalia wanaonijungukia km wewe Ruttashobolwa lawyer koko lol
 
Last edited by a moderator:
nikikupa aaah utalewa eeeh nikikunyima huruma aaaaa
nikikupa kupa kupa utalewaaa na nikikunyimaaaaa huruma!
nshachoka mie
nshachoka miie
hoi hoi
nshachoka mie..........

hah hah hah hah! Haya bana!
 
Hahahahaha huo ndio ukweli ulikuwa umejificha na kuhakikishia wewe hutorudi Arusha lazima tukuache barabara ya 7 maana lazima unase!

Kwani sinakuwa nimenasa huku naendelea kula raha km madog lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…