sweetlady umesikia ya babu Asprin? Lily Flower mashaka ondoa babu shajitokezaHahahahaha! sweetlady ni mjukuu maalum wa babu. Na mjukuu maalum ni mke wa babu. Hii inamaanisha sweetlady ni my wife. Anayebisha anyooshe mkono juu aone cha mtema kuni.
"mtu mwenye akili akijua kuwa na wewe una akili akakushauri jambo la kipumbavu na wewe ukakubali atakudharau!"
Saasa hapo mianzini unapotokezea ndo pabaya zaidi, maanaSiku ukija omba msaada tuje tukuvushe, tusijeanza kuandika RIP nyiingi hapa!Chezea pilika za daslamu. Na mie mbona niko nkoarua, nikija mjini nani atanivusha barabara?
Note: napita shortcut ya sing'isi, akeri, ilboru natokezea mianzini.
ndio wamerudisha muda huu khaa njii inakera hii .........BTW wifi naona unafanya booking kwa RR unajua hakuna kuimport
Tumekuja maimitohivi nataka kujua....... FirstLady...... Kimey..... Ncha... Chipukizi.... hmethod.... Derimto..... WiseLady.... fidel... MwanajamiiOne..... Crashwise.... Loner... Freetown.. Teamo... The Finest..... SaHaRa voice... Maty.... Kaizer......@GY.....@RR.....na wengine wengi....hamjauona huu uzi...ama ni nini....?......kama tumewakosea tunaomba msamaha lakini tafadhali itikieni hapa....khaaa......mlivyouchubua......
Saasa hapo mianzini unapotokezea ndo pabaya zaidi, maanaSiku ukija omba msaada tuje tukuvushe, tusijeanza kuandika RIP nyiingi hapa!
Tumekuja maimito
Tumekuja maimito
hahahaha mambo ya pori mkuu, net za tigo si unazijua tenaUnakatika katika sana Mkuu!? Ni hii network au? Hamjambo ninyi?
Sa wewe unataka uwambiwe suprise? suprise haisemwi kabisaaa! stay tunedorait orait.....umeuelewa uzi au hujauelewa......na kama umeuelewa......nini maoni yako.....?
hivi nataka kujua....... FirstLady...... Kimey..... Ncha... Chipukizi.... hmethod.... Derimto..... WiseLady.... fidel... MwanajamiiOne..... Crashwise.... Loner... Freetown.. Teamo... The Finest..... SaHaRa voice... Maty.... Kaizer......@GY.....@RR.....na wengine wengi....hamjauona huu uzi...ama ni nini....?......kama tumewakosea tunaomba msamaha lakini tafadhali itikieni hapa....khaaa......mlivyouchubua......
Sa wewe unataka uwambiwe suprise? suprise haisemwi kabisaaa! stay tuned
Sa wewe unataka uwambiwe suprise? suprise haisemwi kabisaaa! stay tuned
okay okay.....
Ukimuona black women mwambie Bepari ana mtafuta
nipo nae hapa Freedom.......umesema nimwambieje....?