Kwani kuna nini hapa! Huyu dogo naona hataki kuhesabiwa mwaka huu!
Acha kusikiliza majungu shem...nipo ila naona chupa itanimeza soon
Hapana Shem wangu.......... nnachofanya najaribu kutetea haki za wababa manake naona kama Filipo ananyanyaswa
Hahahahaha! Utang'aa sharubu mwaka huu. Nicas Mtei komaa na marejesho.Kijana taratibu na wake za watu!
Hahahahaha! Utang'aa sharubu mwaka huu. Nicas Mtei komaa na marejesho.Kijana taratibu na wake za watu!
Hahahahaha! Utang'aa sharubu mwaka huu. Nicas Mtei komaa na marejesho.
Soon kitaeleweka. JF HQ wing kubwa ya Dar ni next level
Endelea kufanya bidii!!!Yaani hata jitihada za kunishawishi bado hazijanibamba!!!!!!
Unaungana na Bi Hellen Kijo Bisimba?
Mkuu Mungi, huyo Nicas Mtei anajitia wazimu tu. Anajipaka damu kama muuza bucha ili nae aonekane mchinjaji! Atakaa sana!!!
Mkuu Mungi, huyo Nicas Mtei anajitia wazimu tu. Anajipaka damu kama muuza bucha ili nae aonekane mchinjaji! Atakaa sana!!!