Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Last edited by a moderator:
Mkuu siyo Kijobisimba tu, naungana na wote wanaopiga vita unyanyasaji dhidi ya waume, tunaanzia kwa marejesho kwa kumnyanyasa Filipo wetu....................... haiwezekani mtu anakaguliwa na babu Asprin halafu hapo hapo wewe????????!!!!!!!!!!

Ntakuhamisha mji.
 
Last edited by a moderator:
Where is my Black woman? Nta muweka mtu selo!

Kudadadeki!
 
Mkuu siyo Kijobisimba tu, naungana na wote wanaopiga vita unyanyasaji dhidi ya waume, tunaanzia kwa marejesho kwa kumnyanyasa Filipo wetu....................... haiwezekani mtu anakaguliwa na babu Asprin halafu hapo hapo wewe????????!!!!!!!!!!

Mkuu Mungi, huyo Nicas Mtei anajitia wazimu tu. Anajipaka damu kama muuza bucha ili nae aonekane mchinjaji! Atakaa sana!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mungi, huyo Nicas Mtei anajitia wazimu tu. Anajipaka damu kama muuza bucha ili nae aonekane mchinjaji! Atakaa sana!!!

Mkuu ni kweli ngashtuka.......... si unajua kule Dar warembo wengi wapo kaole, sasa wakiona mashine ka marejesho imetua kule baaas............ na vile dada zetu walivyo ving'amuzi
 
Last edited by a moderator:
Mungi usiseme sana. Mi tayari nsham miliki marejesho

Mkuu mmmm sidhani kama kweli umemkagua marejesho, manake mwonekano wake unawakilisha............. ila ukiangalia typing zake zinaonyesha kama umemkagua vile! kama kweli umekagua dah, mbona niaje mazee:msela:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom