usijali my dia ntakuandalia
tena mtafutie ule ubuyu wa wahindi wanaoushusha na makapu...
Afu shem wewe,
Haya tu.
tena mtafutie ule ubuyu wa wahindi wanaoushusha na makapu...
Jamani where is my Black Woman? Miss her much!
Namlaza mtu selo leo kama Black woman hatoonekana!
Mlio kua mnanitafuta haya nimekuja.... Sema msikike...
Kama humfahamu Blaki Womani unahitaji ukaguzi!
Love, tutaenda. Am working on the logistics
sasa naona mkuu unaleta masikhara....Black woman na Blaki Woman ni sawa??? muda si mrefu utasema,
WATU = watu8
Madam B = Madame B = madam B
Arushaone = Arusha one
Please Darling, be there with us!
Looking Forward!