Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Jamani where is my Black Woman? Miss her much!

Namlaza mtu selo leo kama Black woman hatoonekana!
 
Kama humfahamu Blaki Womani unahitaji ukaguzi!

sasa naona mkuu unaleta masikhara....Black woman na Blaki Woman ni sawa??? muda si mrefu utasema,
WATU = watu8
Madam B = Madame B = madam B
Arushaone = Arusha one
 
Last edited by a moderator:
sasa naona mkuu unaleta masikhara....Black woman na Blaki Woman ni sawa??? muda si mrefu utasema,
WATU = watu8
Madam B = Madame B = madam B
Arushaone = Arusha one

Huyo Ruttashobolwa alikuwa anamwita Blaki Womani. Tatizo la wahaya ni kiingereza kiiiiingi! Lol
 
Last edited by a moderator:
Mlio kua mnanitafuta haya nimekuja.... Sema msikike...
Sasa lete mwongozo, unasemaje kwa hii maneno?.. Bigirita anakutafuta sana. anasema namba yako ya simu aliipoteza akiwa Bagamoyo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom