Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Toa ulevi wako hapa! Nyie ndio mnarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu afu mnamsingizia baba Mwanaasha wa watu!

Futa kauli sweetlady!!!! FYI wanywa ndyofu ndio waleta maendeleo ya TZ. Ba'mwanaasha angepataje kodi?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha, utajapokea mpaka wanyonya damu wewe lol! Afu futa hiyo mrs Mungi manake nitonye anavyonipenda akisoma atakunywa sumu bure!

wanyonya damu mjini! Huo ndio ushamba wa kuzaliwa Leguruki!?
 
Last edited by a moderator:
Marhabaaa Mrs. Mungi! Aaaah, sorry, Mrs. nitonye. Nipo bize kuna mgeni anaitwa amu naenda kumpokea.

I hope Lily Flower hajapitia huku kabisa lol

Hahahaha, utajapokea mpaka wanyonya damu wewe lol! Afu futa hiyo mrs Mungi manake nitonye anavyonipenda akisoma atakunywa sumu bure!

Usijali sweetlady, kwani Filipo wakati anaandika nadhani alikuwa ameshapitia BP kujaza mafuta kidogo! BTW sijui anantabiria kitu gani.

Afu bora ungemtaja yule mmeo mwingine kuliko huyo nitonye, manake jamaa ni mwoga kama nini
 
Last edited by a moderator:
I hope Lily Flower hajapitia huku kabisa lol



Usijali sweetlady, kwani Filipo wakati anaandika nadhani alikuwa ameshapitia BP kujaza mafuta kidogo! BTW sijui anantabiria kitu gani.

Afu bora ungemtaja yule mmeo mwingine kuliko huyo nitonye, manake jamaa ni mwoga kama nini
We Mungi taratibu na mdomo wako, mume mwingine yupi unaemjua wewe? Unikome, usijenivunjia ndoa mie! Nampenda sana mume kipenzi nitonye!


Filipo umefika wapi na mgeni?
 
Last edited by a moderator:
We Mungi taratibu na mdomo wako, mume mwingine yupi unaemjua wewe? Unikome, usijenivunjia ndoa mie! Nampenda sana mume kipenzi nitonye!


Filipo umefika wapi na mgeni?

Mbona unamkataa? nitonye akisikia mumeo Mr Rocky yupo ndani na sweetlady anapotea mazima weeee mpaka umjulishe tena kuwa Mr Rocky ameshaondoka ndo anakuja na mauoga yake! tena kwa hawara yako Arushaone ndo kabisaaaaaaaaaaa manake huwa anatabia ya kuchomeka mkuki mlangoni kumtishia nitonye! ila kwa Filipo haogopi sana manake ye anatembea na manati tu
 
Last edited by a moderator:
Mbona unamkataa? nitonye akisikia mumeo Mr Rocky yupo ndani na sweetlady anapotea mazima weeee mpaka umjulishe tena kuwa Mr Rocky ameshaondoka ndo anakuja na mauoga yake! tena kwa hawara yako Arushaone ndo kabisaaaaaaaaaaa manake huwa anatabia ya kuchomeka mkuki mlangoni kumtishia nitonye! ila kwa Filipo haogopi sana manake ye anatembea na manati tu
Ndoa yangu ikivunjika kwa haya majungu yako hapa, nakuja unioe wewe!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom