Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, heri yako wewe mjanja uliyezaliwa olmotonyi !wanyonya damu mjini! Huo ndio ushamba wa kuzaliwa Leguruki!?
We Mungi taratibu na mdomo wako, mume mwingine yupi unaemjua wewe? Unikome, usijenivunjia ndoa mie! Nampenda sana mume kipenzi nitonye!I hope Lily Flower hajapitia huku kabisa lol
Usijali sweetlady, kwani Filipo wakati anaandika nadhani alikuwa ameshapitia BP kujaza mafuta kidogo! BTW sijui anantabiria kitu gani.
Afu bora ungemtaja yule mmeo mwingine kuliko huyo nitonye, manake jamaa ni mwoga kama nini
Ndoa yangu ikivunjika kwa haya majungu yako hapa, nakuja unioe wewe!Mbona unamkataa? nitonye akisikia mumeo Mr Rocky yupo ndani na sweetlady anapotea mazima weeee mpaka umjulishe tena kuwa Mr Rocky ameshaondoka ndo anakuja na mauoga yake! tena kwa hawara yako Arushaone ndo kabisaaaaaaaaaaa manake huwa anatabia ya kuchomeka mkuki mlangoni kumtishia nitonye! ila kwa Filipo haogopi sana manake ye anatembea na manati tu
Ni Upepo tu!!!