Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Tunataka kuleta mageuzi ya ki-mfumo.....

kuweni makini sana enyi akina baba wa Arachuga....wakati wa kurudi kutoka Tanga, mnaweza mkajikuta mnarudi wenyewe Arusha, hawa vigori wote mtawaacha pale Segera, Hakika nawaambieni.
Nimesoma ramani nimeona tayari Blaki Womani keshaenda kwa bepari la kihaya Ruttashobolwa lakini haina shida bado sipumulii drip.

Erickb52 naona kama unabeep badala ya kupiga, Preta namshangaa ni kama anajifanya haoni offer ya Mr Rocky!!!! Hapo sasa Mungi kama kachanganyikiwa tangu agundue siasa haina dili, hajua ang'oke na nani yaani yeye wote wazuri tu!!!

Madame B baada ya kuelewa ratiba nzima hana wasiwasi hajui kama PakaJimmy hatabadilika baada ya kumuona cacico, Kipipi bila kujali wa awali ni awali maana wakina Asprin aka babu wao ni wazoefu watatumia uzoefu kuushangaza umma.

Finest yuko busy kama Bush alivyokuwa anamsaka Osama!!! Bigirita ndiyo kama kasusa kabisa maana mpaka saizi hajasema lolote!!!! FirstLady yeye ni kama mkoloni kamnyima ruksa na hivyo anaona uchungu hata kupitia uzi huu.

Jamani WiseLady kwa kweli tumekumiss wakati ukija kuhesabiwa usikose kupitia pande hizi bila kumsahau jemedali Kimey ambaye siku hizi yupo kama hayupo.

Wakongwe kama Bishanga sijui kaona dalili ya kilala doro, mbona kimya???

Back to Filipo anahangaika kuimarisha lindo kwa marejesho tangu apewe angalizo la vipanga kuwepo!!!!

Lily Flower beat la Mungi limemtouch na kutepeta tehe tehe.
 
Unachekesha lol. Mungi anitupe mimi? Hehehehe! Mchukue Mwita Maranya nasikia hajafanyiwa booking

Weeeee stop, ishia hapo hapo sweetlady.
Lily Flower ni dada yangu kipenzi cha kufa na kuzikana. Huoni ninavyomlinda na walugaluga!!?
Kwa taarifa yako nimeshabukiwa zamaaniii, au unataka nimtaje? kwakuwa umetoswa na Mungi nachoweza kukusaidia ni kukukonekti na wale walio availabo hadi usawa huu.
 
Weeeee stop, ishia hapo hapo sweetlady.
Lily Flower ni dada yangu kipenzi cha kufa na kuzikana. Huoni ninavyomlinda na walugaluga!!?
Kwa taarifa yako nimeshabukiwa zamaaniii, au unataka nimtaje? kwakuwa umetoswa na Mungi nachoweza kukusaidia ni kukukonekti na wale walio availabo hadi usawa huu.

Mwambie huyo bro Mwita Maranya ngoja nilete na matarumbeta.
 
Last edited by a moderator:
Sawa mkuu lakini angalia usije ukampatia majukumu makubwa kuliko uwezo wake, bado tunamhitaji sana.
Mmempeleka wapi best yangu Loner?...... Kumbe kuokoka kuzuri hivyo eenh? wapi Mzee wa Rula? Crashwise naye kimya au mmemtenga katika safari hii?
Crashwise majukumu yamembana sana naona siku hizi. Loner bana kama Kakakuona, yaani ni bahati kumuona.
 
Last edited by a moderator:
We nae ntakuacha sasahivi nimbuku Mzee wa Rula, huna siri? Mie nakunong'oneza wewe unapiga makelele!

Mashallah mtoto wa kike, karibu karika ulimwengu mwingine kabisa, wala usisite kufanya booking maana hapa hakuna msongamano sweetlady kama Mungi ambavyo hana siri na kuchukia kama kamanda wa Jeshi aliye mstari wa mbele kutoa amri tehe tehe.
 
Last edited by a moderator:
Mashallah mtoto wa kike, karibu karika ulimwengu mwingine kabisa, wala usisite kufanya booking maana hapa hakuna msongamano sweetlady kama Mungi ambavyo hana siri na kuchukia kama kamanda wa Jeshi aliye mstari wa mbele kutoa amri tehe tehe.
sweetlady ushindwe mwenyewe kuvuka mto, maji yenyewe ya ugoko haya.
 
Last edited by a moderator:
Nime kwenye Dar-express hapa natia timu leo alaf kesho nitakuwa na kikao na lilyflower,black women maana hawa warembo nisipo wajali mimi huko Arusha hakuna wakuwajali lasivyo mtawaangusha bure kule ufukweni Tanga!

Nimesikia Ruttashobolwa anataka kutia timu chuga ajifanye naye wa huku................ hebu fanya buking haraka.... manake nasikia amebakiza nafasi moja
 
Last edited by a moderator:
Nime kwenye Dar-express hapa natia timu leo alaf kesho nitakuwa na kikao na lilyflower,black women maana hawa warembo nisipo wajali mimi huko Arusha hakuna wakuwajali lasivyo mtawaangusha bure kule ufukweni Tanga!

Bora mie sijasema hala hala Ruttashobolwa.

 
Last edited by a moderator:
Ungeandika na rangi nyeupe maana hawa majaama watakuangukia sasa hivi mie simo tena nalog out kabisa.

hawawezi.......amin amin nakuambia, hata safari ya Tanga itakapowadia, watakuwa wanashangaa shangaa tu na maneno yao mengi!
 
Back
Top Bottom