Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshenzi maana yake Mbayaaaaaaaaaaaaaaa!
We mbayaaaaaaaaaaaa!!!!
We jamaa mbayaaaaaaaa!
Please Darling, be there with us!
Looking Forward!
hahaha! Pal pozi gani linaharibiwa? Wewe si umeona hapo mzee karipoti anafanya logistics? Lol Filipo usiogope huyu na mikwara yake hewa. Wewe endelea kumlipua tu!
Huyo Ruttashobolwa alikuwa anamwita Blaki Womani. Tatizo la wahaya ni kiingereza kiiiiingi! Lol
Mlio kua mnanitafuta haya nimekuja.... Sema msikike...
@ PakaJimmy Akiwa Bagamoyo!!! Kuna usalama kweli? Huko si wzoefu wa vipapai wako??
Loner......kuja pande hii!!!nashangaa wamekimbilia wapi......ni Bigirita..... Kimey.... The Finest.......tena walivyokuwa wanakuulizia vibaya......usitake kuambiwa......hebu waje wajibu hii tuhuma......
nimefurahi kusikia kutoka kwako......ulipotea sana bana......lakini nakuaminia.....pamoja sana........
nitaistabilize usijali, uniwahie seat pembeni yako tafadhali
Hapo kwenye red ungeandika na rangi nyeupe Mungi asione lakini for shua hajaona hii kitu, usijali nitakubukia siti jirani kabisa na mimi.
Eti nani ananiita? Ncha kama unataka kwenda selo fanya ubukiwe na Lily Flower........................... halafu na we Lily Flower unafanya mambo gani bana wakati unajua sweetlady yupo kwenye corner anantega?
Hahahahahaha! Unanikumbuka ila tu unaleta ukaidiii.....najua mtu halazimishwi kupendaaaa, anapenda mwenyeweee basi usinikuzishie kidondaaa wakati wajua dawa ni weweee!Eti nani ananiita? Ncha kama unataka kwenda selo fanya ubukiwe na Lily Flower........................... halafu na we Lily Flower unafanya mambo gani bana wakati unajua sweetlady yupo kwenye corner anantega?
umeona eeh! ulinimissije sasa, lol!