Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha! Manyara nasikia wako 8 ... Bado kule rombo mashati hatujajua lol. Nimemwacha asee, ataniua wakati mwenzie hata sijamaliza kuota meno!Achana nae bana!
Kwa hapa A-Town tu, nawajua watu wake 13, sijajua mikoa mingine na hasa kule Manyara alikoanzia kazi!
Hahahaha! Hapana bana, nimeota tuko tunashangilia eti Lema karudishiwa ubunge
Hahahaha! Utajiju babaHeeeeeeeee nilisahau........... kumbe nilikupa mpaka access