Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

sasa si umwambie nitonye akupe dawa! Huyo ndege kajilengesha mwenyewe kwenye nyavu halafu unamshtua! Ona sasa kapeperuka!!!?
Dawa aitoe wapi? Afu uwe mwangalifu manake sio kila ndege anafaa kwa matumizi ya binadamu! Sitaki kukukosa mie.
 
Last edited by a moderator:
Dawa aitoe wapi? Afu uwe mwangalifu manake sio kila ndege anafaa kwa matumizi ya binadamu! Sitaki kukukosa mie.

Mimi mbona nilishapatwa na marejesho siku nyingi! Ndio ushanikosa ivoo!
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 samahani sana na huyo bidada.
Mwenyewe nitakuwepo hubby.
Kabakabana tuheshimiane.
 
Ukimwacha ndugu yako Rejao, zomba na Ritz sidhani kama bado tuna vijana magamba!

4.+paredi+la+vijana+wa+ccm.jpg
 
Back
Top Bottom