Western Union kukataa transaction yangu kisa herufi moja tu, hivi imekaaje kwa wenye uzoefu?

Western Union kukataa transaction yangu kisa herufi moja tu, hivi imekaaje kwa wenye uzoefu?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Nimeenda branch ya western union moja hapa moshi, kutoa hela nlotumiwa, details zote (mtcn, senders name, my name, receiver name, country of origin) zilikuwa sahihi Isipokuwa mtumaji hakuandika herufi moja tu inayoonesha jina langu la kati Kama ilivyo kwenye kadi yangu ya mpiga kura, hii ni kwa branch zote? Hii ni kawaida au teller kanibania?

Wenye uzoefu mnishauri
 
Suala la pesa ni sensitive . western union wako strict ndio maana inapaswa kwenda na Kitambulisho kitakachoendana na taarifa za muamala .


All in all nadhani ni ngumu mtu kufoji MTCN ambayo ni kama namba ya siri. Kwa hiyo MTCN ingepewa uzito kuliko hiyo herufi moja iliyokosewa.



Vipi mkuu ulienda kupata huduma pale Jengo la Uchumi ?
 
Nimeenda branch ya western union moja hapa moshi, kutoa hela nlotumiwa, details zote (mtcn, senders name, my name, receiver name, country of origin) zilikuwa sahihi Isipokuwa mtumaji hakuandika herufi moja tu inayoonesha jina langu la kati Kama ilivyo kwenye kadi yangu ya mpiga kura, hii ni kwa branch zote? Hii ni kawaida au teller kanibania?

Wenye uzoefu mnishauri
Nenda kwa teller unaemfahamu hapo kama kila kitu kipo sawa ni dakika tu ishanitokea sana .ila matellers wengine ni watu poa.alafu pia mwambie sender akutumie notification wakati anatuma kuna sms inaingia kwa namba yake ambayo ipo hewan .akautumie hiyo na umuonyeshe teller akikataa hadi hiyo basi teller huyo atakuwa na nongwa tu.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Nimeenda branch ya western union moja hapa moshi, kutoa hela nlotumiwa, details zote (mtcn, senders name, my name, receiver name, country of origin) zilikuwa sahihi Isipokuwa mtumaji hakuandika herufi moja tu inayoonesha jina langu la kati Kama ilivyo kwenye kadi yangu ya mpiga kura, hii ni kwa branch zote? Hii ni kawaida au teller kanibania?

Wenye uzoefu mnishauri
Badili tawi
 
Ndio maswala banking wako makini sana, hata kama herufi imekosewa, ila kesho asubuhi jaribu bank ya posta au nyingine. Ikishindikana wasiliana na Muhusika akarekebishe au atume kwa Send waves pesa iingie kwenye simu
Hapo ndipo napenda payoneer, yani hata mtu aandike jina lolote ilimradi account ya bank kapatia pesa inasoma bila shida kama malipo yamefanyika account ya marekani au umoja wa ulaya
 
Back
Top Bottom