Wewe Dada. Binadamu pekee mwenye mapenzi ya dhati kwako hapa duniani ni mumeo

Haina haja ya kusona title tu inatosha 100%πŸ‘πŸ‘
 
Wapo mkuu jaribu kutembea tembea sema wachache
 
Tz tunahitaji watu Kama ww zaidi ya waliopo ili tusonge mbele
 
Hii awamu ya mama Samia watu wanaongea point sana
Ahsante mama
Mitano tena
 
Mbna imeandikwa wanaume wapendeni wake zenu na wake watiini waume zenu, ilo lipo hata Muumba anajua.

Efeso 5:22
Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.

Efeso 5:25a
Enyi waume, wapendeni wake zenu,
 
Umekariri tu siku hizi wanawake nao wanaprovide

Ngoja nikuache
Mwanaume ku-provide ni MUST, mwanamke ku-Provide ni OPTION.

Huwezi pendant kama has provide ila huyo mwanamke anaye provide amependwa bila hata ya kuwa na sifa ya ku-provide hio ku-provide imekuja baadae tu na hata akishindwa provide tena si tatizo.

Una ubongo mzee kichwani utumie ipasavyo basi
 
Af wee ninja unapoelekea , umezama kuliko ata BEKA FLAVOUR kwa pisi yake ile makeup artist inayompeleka mputa

Af we si malume kabisa chalii ya R toto tundu

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘Š
Siku hizi ke wana nyanja za pesa kama me

Kwanini uwape pesa? Mimi naona hapana
 
una akili zilizo tulia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…