binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Yaani nachekaga sana nikiona hiyo comment.Nampenda pia kiukweli, mzee wa 'piga chini'..!๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nachekaga sana nikiona hiyo comment.Nampenda pia kiukweli, mzee wa 'piga chini'..!๐๐
Haina haja ya kusona title tu inatosha 100%๐๐Mama/Baba yako anakupenda tu kwa sababu wewe ni mwanae. Alikuzaa, umekuwa anakuona, mmekuwa na bond ya muda mrefu.
Kaka na dada zako wanakupenda tu kwasababu wewe ni ndugu yao. Mmezaliwa pamoja. Mmekua pamoja.
Lakini kuna huyu mwanaume. Mume wako. Ulishawahi kujiuliza kwanini anakupenda kiasi hicho?
Sijui mlikutana wapi, ila hadi akachukua jukumu la kuja kwenu kukuomba kwa wazazi wako, akatoa mahari akakuleta kwake na sasa anaishi na wewe.
Anajitahidi kadri ya uwezo wake usipate taabu, anapenda kukuona ukiwa na furaha muda wote hata akikukosea anajishusha ili tu uwe na furaha. Pamoja naushenzi wako wote ila anakuvumilia, hataki kukupoteza.
Ulisha wahi kujiuliza wewe ni nani hasa kwake?, ni kitu gani special unampatia kiasi cha kumpa sababu ya kukupa wewe thamani kubwa hivyo katika maisha yake? Labda sex? Lakini unadhani hangeweza kupata sex bila wewe? Unadhani pamoja na uwepo wako katika maisha yake hapati sex huko nje?....
Tuseme labda anafanya hivo sababu umemzalia watoto?! Hapana, watoto wamekuja baadae sana. Wamemkuta akiwa anakupenda hivohivo.
Kwahyo ukiangalia ki undani, utagundua mume wako anakupenda bila sababu. And that's what true love is. Na siku ukifa, ni yeye ndiye ataumia zaidi kuliko mtu mwingine yeyote.
Mtasema the vice-versa is true. Ila hapana. Mwanamke anampenda mume sababu anaprovide something. Anahudumia. Mume ukishindwa kuhudumia, mapenzi ya mkeo kwako will gradually fade out and eventually disapear. Siku moja tu utatoka kwenye mihangaiko ukute kaleta fuso, kabeba kila kitu ndani kaondoka zake.
Ila watu๐๐๐๐Ukioa au ukiwa na mwanamke mapepe lazima uwe mwanafalsa na mshaurri wa jinsia na mapenzi
Wapo mkuu jaribu kutembea tembea sema wachacheAnakulisha yeye
Anakuvisha yeye
Bando anakununulia yeye
Kodi ya pango analipa yeye/Nyumba kajenga yeye
Bili ya umeme na maji analipa yeye
Ada ya watoto analipa yeye
Wazazi wako wakiwa na shida anawasidia yeye
Wazazi wake wakiwa na shida anasaidia yeye
And she just love you the way you are?! We ulisikia wapi?! Huyo mwanamke ulimuona wapi?!
Tz tunahitaji watu Kama ww zaidi ya waliopo ili tusonge mbeleMama/Baba yako anakupenda tu kwa sababu wewe ni mwanae. Alikuzaa, umekuwa anakuona, mmekuwa na bond ya muda mrefu.
Kaka na dada zako wanakupenda tu kwasababu wewe ni ndugu yao. Mmezaliwa pamoja. Mmekua pamoja.
Lakini kuna huyu mwanaume. Mume wako. Ulishawahi kujiuliza kwanini anakupenda kiasi hicho?
Sijui mlikutana wapi, ila hadi akachukua jukumu la kuja kwenu kukuomba kwa wazazi wako, akatoa mahari akakuleta kwake na sasa anaishi na wewe.
Anajitahidi kadri ya uwezo wake usipate taabu, anapenda kukuona ukiwa na furaha muda wote hata akikukosea anajishusha ili tu uwe na furaha. Pamoja naushenzi wako wote ila anakuvumilia, hataki kukupoteza.
Ulisha wahi kujiuliza wewe ni nani hasa kwake?, ni kitu gani special unampatia kiasi cha kumpa sababu ya kukupa wewe thamani kubwa hivyo katika maisha yake? Labda sex? Lakini unadhani hangeweza kupata sex bila wewe? Unadhani pamoja na uwepo wako katika maisha yake hapati sex huko nje?....
Tuseme labda anafanya hivo sababu umemzalia watoto?! Hapana, watoto wamekuja baadae sana. Wamemkuta akiwa anakupenda hivohivo.
Kwahyo ukiangalia ki undani, utagundua mume wako anakupenda bila sababu. And that's what true love is. Na siku ukifa, ni yeye ndiye ataumia zaidi kuliko mtu mwingine yeyote.
Mtasema the vice-versa is true. Ila hapana. Mwanamke anampenda mume sababu anaprovide something. Anahudumia. Mume ukishindwa kuhudumia, mapenzi ya mkeo kwako will gradually fade out and eventually disapear. Siku moja tu utatoka kwenye mihangaiko ukute kaleta fuso, kabeba kila kitu ndani kaondoka zake.
Yeye hana hela? Tulieni basi
Sio kulelewa ni kusaidiana
Tunapeana hela
Af wee ninja unapoelekea , umezama kuliko ata BEKA FLAVOUR kwa pisi yake ile makeup artist inayompeleka mputaSikubaliani na wewe.
Mungu akutetee cute...wanaume wapo sema nao washangโatwa na nyoka basi hadi unyasi ukiwagusa wanaruka
Nawaogopa sana wanaumeMungu akutetee cute...wanaume wapo sema nao washangโatwa na nyoka basi hadi unyasi ukiwagusa wanaruka
Sad,utapona cute...utapata aliyesahihi.Nilikuwa kataa ndoa ila sasa moyo wangu umefunguka tena...naweza kupenda tenaNawaogopa sana wanaume
Kwa kilichonitokea miaka ya karibuni ๐ช
AsanteeSad,utapona cute...utapata aliyesahihi.Nilikuwa kataa ndoa ila sasa moyo wangu umefunguka tena...naweza kupenda tena
Mwanaume ku-provide ni MUST, mwanamke ku-Provide ni OPTION.Umekariri tu siku hizi wanawake nao wanaprovide
Ngoja nikuache
Siku hizi ke wana nyanja za pesa kama meAf wee ninja unapoelekea , umezama kuliko ata BEKA FLAVOUR kwa pisi yake ile makeup artist inayompeleka mputa
Af we si malume kabisa chalii ya R toto tundu
๐๐๐
Umekua kichwa ngumu sana tokea upate ile mrax yenye dough, umekua spokeperson ma ninja ๐๐Siku hizi ke wana nyanja za pesa kama me
Kwanini uwape pesa? Mimi naona hapana
una akili zilizo tulia sanaMama/Baba yako anakupenda tu kwa sababu wewe ni mwanae. Alikuzaa, umekuwa anakuona, mmekuwa na bond ya muda mrefu.
Kaka na dada zako wanakupenda tu kwasababu wewe ni ndugu yao. Mmezaliwa pamoja. Mmekua pamoja.
Lakini kuna huyu mwanaume. Mume wako. Ulishawahi kujiuliza kwanini anakupenda kiasi hicho?
Sijui mlikutana wapi, ila hadi akachukua jukumu la kuja kwenu kukuomba kwa wazazi wako, akatoa mahari akakuleta kwake na sasa anaishi na wewe.
Anajitahidi kadri ya uwezo wake usipate taabu, anapenda kukuona ukiwa na furaha muda wote hata akikukosea anajishusha ili tu uwe na furaha. Pamoja naushenzi wako wote ila anakuvumilia, hataki kukupoteza.
Ulisha wahi kujiuliza wewe ni nani hasa kwake? Ni kitu gani special unampatia kiasi cha kumpa sababu ya kukupa wewe thamani kubwa hivyo katika maisha yake? Labda sex? Lakini unadhani hangeweza kupata sex bila wewe? Unadhani pamoja na uwepo wako katika maisha yake hapati sex huko nje?
Tuseme labda anafanya hivo sababu umemzalia watoto? Hapana, watoto wamekuja baadae sana. Wamemkuta akiwa anakupenda hivohivo.
Kwahiyo ukiangalia ki undani, utagundua mume wako anakupenda bila sababu. And that's what true love is. Na siku ukifa, ni yeye ndiye ataumia zaidi kuliko mtu mwingine yeyote.
Mtasema the vice-versa is true. Ila hapana. Mwanamke anampenda mume sababu anaprovide something. Anahudumia. Mume ukishindwa kuhudumia, mapenzi ya mkeo kwako will gradually fade out and eventually disapear. Siku moja tu utatoka kwenye mihangaiko ukute kaleta fuso, kabeba kila kitu ndani kaondoka zake.