Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Mmeshuka kituo kimoja na haujaomba namba ya simu unakuja kulalama humu? Ukitwa domo zege utachukia?
 
Yap... hakuna muda wa kupoteza. Unamuita pembeni na kumpa makavu.
Ewaaaa nahayo ndo mambo...mimi sijui nipoje,sinaga habar za kuumilia moyon ... Yann kujiminya minya.

Muite pemben, mwambie tu bana ,najua unaharaka ila bado nisingependa kukosa kampani yako, umwnivutia sanaaaaa!!.

Unampa simu yako, umeshaiset upande wa kuandika namba ..basi utaona anashika anakuandikia namba ,unaondoka zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…