Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

poa kiongozi.. una kumbukumbu saana.
Sie wazee wa zamani (jokes) ngumu sana kupoteza kumbukumbuku mi hua nakusoma maeneo tofauti tofauti na kila nikikuona hua nakukumbuka.
 
Sie wazee wa zamani (jokes) ngumu sana kupoteza kumbukumbuku mi hua nakusoma maeneo tofauti tofauti na kila nikikuona hua nakukumbuka.
sasa mimi kuna siku uliniqoute ikabidi nikague makabrasha ndiyo nikakumbuka... ila hadi na leo haujanitoka.
 
Katika uzi mwingine humuhumu JF mtu mwingine kaandika eti wazungu wanawaogopa watu weusi kwa uwezo mkubwa walionao. Kwa uwezo kama huu lazima watuogope
 
Ndyo bby yan cku zote hzo
Hujui mm n wa mkoan mbn
Wanipa mashaka bebe[emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bebe bebe upo mkoa gani kolomije au
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kaskazin oyeeee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Njia panda hoyeeeeeeee

Karbu home bebe
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Njia panda hoyeeeeeeee

Karbu home bebe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] himoo hoyeeeee

me pia humo humo bebe
 
We Mwalim Ayoub acha hizo bana, naona sasa hv umehamia Jamii Forum kutuharibia wadogo zetu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] himoo hoyeeeee

me pia humo humo bebe
Waaaa waaaaaah kumbe

Haya mkuuu wilayan hoyeeeeeeee!!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Naona mleta mada unataka utengeneze 'kiwanda" hapo!
 
Ulishindwa vipi kuomba namba wewe boya!!!!???? Wavulana wa Dar mnatuangusha ase
 
Yuko natural huyo.hata simu anatumia natural so huku hawezi fika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…