Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Umeweza kukalili kucha zake, rangi ya ngozi, kutotoboa masikio nk ila ukashindwa kukariri rangi ya gauni alilovaa! We Hauna tofauti na wale jamaa wa Tanga waliomuona Nyerere kwenye mwembe
 
Wanawake nadhani mmepata somo hapa, hayo mawigi na makucha hakuna anaye yataka
 
Kwa mtindo huu hili jukwaa inabd lifutwe maana litakuwa kimbilio la matimbulo[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mkuu naomba kukuuliza
Hivi kuna utofauti kati ya udomo zege na mtu kuwa na tabia ya aibu??
Maana huwa sielewi ati
 
Hivi mkuu naomba kukuuliza
Hivi kuna utofauti kati ya udomo zege na mtu kuwa na tabia ya aibu??
Maana huwa sielewi ati
Tofauti ipo , mwenye aibu hufunguka japo kwa kusita lakini domo zege hafungukagi kabisa
 
Lilikuwa ni basi la mwendokasi linalotokea ubungo kwenda kivukoni between saa 3 asubuhi mpaka kama saa 4 hivi

Ulikuwa umekaa kwenye moja ya seats za mbele ambazo unaangaliana na watu waliokaa upande wa pili.

Ulivaa ulivaa gauni lenye mistari ambayo imelala na sandals japo nashindwa kukumbuka rangi ya gauni lako.

Tumeshuka wote kituo kimoja ambacho ni MUNICIPAL COUNCIL(BANDARI) and while tunashuka mlangoni nilikuwa mbele yako.

Nimelazimika kuja kuandika hapa sababu tu ya jinsi nilivopagawa na muonekano wako. Upo natural sana hadi nimebaki tu na maswali kwamba nipo dar kweli au nimeingia wapi leo.

Nywele zako ni natural na ulizibana vizuri sana, Hujatoboa masikio, kucha zako za mikono na miguu umezikeep short hujazipaka rangi na ni safi and rangi ya ngozi yako ni nzuri na ni natural. You were very smart. Najiona nimekuwa blessed leo kwa kukuona vile ulivokuwa. I have aprreciated your appearance.

I was looking at you all the journey from Urafiki to City Council ambapo tulishuka wote. I wish even to say hi to you.

Naamini kwamba unaweza ukapita huku. Please just come pm hata kama hautonipa namba yako its okey. But I have prepared something for you as appreciation for vile ulivokuwa.

I hope you won't refuse.

Thank you
Dah...mke wa mtu ni Sumu....sennnnnz
 
Sawa,kama yuko humu JF ata respond,ila uwe na mpango wa kumuoa kama hujaoa,isijekuwa ni tamaa zako tu za kimwili,maana hiyo ni Ubungo to city center umeona umepagawa,hujaenda pande za Chang'ombe,hujaenda pande za Mwenge,hujaenda pande za Kigamboni,hujakatiza kwenye vyuo hapo katikati ya mji.Tuliza akili na Mshirikishe Mungu ili akusaidie upate mke mwema...
 
Leo kila mtu anajidai anajua kutongoza humu. Mimi ni mmoja wa watu ambao ni ngumu sana kutongoza stranger in public transport,places. Kwa thread hii nimejijua ni domo zege.

dah angalau ww umesema
 
Back
Top Bottom