Wewe Kada Mwandamizi wa hapo CCM Ofisi Ndogo Lumumba uliyehoji kwanini simkubali Hussein Mwinyi haya ni Majibu yangu Kwako

Wewe Kada Mwandamizi wa hapo CCM Ofisi Ndogo Lumumba uliyehoji kwanini simkubali Hussein Mwinyi haya ni Majibu yangu Kwako

Kwa Mimi ninaona kabisa atakayepitishwa ni Mbalawa kwanza Jiwe ndiye anamuamini amefanya kazi poa kwake.
Nashukuru Ndugu kwa Kuendelea nawe Kuonyesha Madhaifu (Mapungufu) yake na nazidi Kusisitiza na Kuwaonya CCM katika Kikao chao cha Uteuzi huko Mkoani (Mji Mkuu) Dodoma kuwa wakimpitisha tu Dkt. Hussein Mwinyi watakuja Kujuta na nina uhakika kuna Siku watakuja hapa hapa JamiiForums na Kuzisoma upya hizi Mada zangu Kumhusu Yeye na Kukataa asiteuliwe kuwa Isles next President.

Ni ama wampe Mbarawa au Nahodha na Mmoja wao hawa akiapishwa tu basi haraka sana amteue Mwenzake kuwa Makamu wa Pili wa Rais huko.
 
Kile unachofikilia siyo kitakachotokea kumbuka ya Magufuli pale Dodoma
 
Mi nahisi MZUKULU Umetumwa na jiwe umponde Mwinyi junior!wewe ni tim mbarawa au Vuai!!!Sio kwa Chuki hii!!!
 
Kwanza nimefurahi kujua kumbe nawe ni mwana JamiiForums Mwandamizi na mkubwa kabisa lakini pia kumbe ni Mtu ambaye unapenda sana Kufuatilia Mada (Threads) zangu hapa hasa za Kisiasa. Sitaki Kukutaja Jina ila nashukuru tu ya kwamba Mtu ambaye umemuuliza Asubuhi ya Leo kwamba kwani Mzukulu hakubali Dkt. Hussein Mwinyi awe Rais Zanzibar amenifikishia Salamu zako.

Haya sasa kwa Faida yako, wana CCM hapo Lumumba na kule Zanzibar hadi wale waliopo hapa JamiiForums hizi ndizo Sababu zangu kwanini simkubali ambazo naomba ziheshimiwe kwani ni zangu binafsi kutokana na ninavyomfahamu lakini pia kupitia kwa Vyanzo vyangu Muhimu na vya karibu nae ambao wanamjua na wamefanya nae Kazi.

1. Ni Mnafiki sana.
2. Ana Upole usio na tija Kiutendaji
3. Ni Muongo kitu ambacho ni Hatari kwa Ustawi wa Nchini (Kisiwa )
4. Mbinafsi kuliko Maelezo
5. Mdini mno na wala hajifichi
6. Si mtoa Ushirikiano mzuri katika mambo ya Kimsingi
7. Ni mtengeneza Makundi kila mahala ambapo huwa anakuwepo Kiutendaji

Mzukulu naendelea Kusisitiza CCM mkimpitisha Dkt. Hussein Mwinyi Jumapili huko Kikaoni Dodoma mtakuwa mmefanya Kosa Kubwa na mtakuja kunikumbuka na kuukumbuka huu Uzi wangu. Mkimpitisha Profesa Makame Mbarawa Mnyaa au Shamsi Vuai Nahodha mtakuwa mmefanya Maamuzi sahihi. Na atakayeshinda kati ya hawa Wawili basi Mmoja wao awe ndiyo Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.

Sina Chuki naye ila kwa upande wa Urais Dkt. Hussein Mwinyi hafai kabisa.
GENTAMYCINE ACHA KUPIGA TARUMBETA ZISIZO NA MAANA HAPA, POPOMA MKUBWA WEWE
 
Kazi Kwao CC ya CCM itakayokutana huko Mkoani Dodoma kuanzia Jumamosi ya Wiki kwani tayari nimeshawarahishia Kazi hasa hasa hapo kwa Dkt. Hussein Mwinyi. Wasithubutu kabisa kumpa watakuja Kunikumbuka Mzukulu.
Nilimsikia mpemba mmoja kijiweni ansema profesa hafa kabisa. Yeye na wenzake ni mwinyi anatosha. Nilkuwa sijui mwinyi alisomea marekani yeye ndie kanifumbua macho. NI MPEMBA KABISA NA SI MUUNGUJA. Hivyo kila mtu na upande wake tusubirie hatima ya jpili.
 
Kwanza nimefurahi kujua kumbe nawe ni mwana JamiiForums Mwandamizi na mkubwa kabisa lakini pia kumbe ni Mtu ambaye unapenda sana Kufuatilia Mada (Threads) zangu hapa hasa za Kisiasa. Sitaki Kukutaja Jina ila nashukuru tu ya kwamba Mtu ambaye umemuuliza Asubuhi ya Leo kwamba kwani Mzukulu hakubali Dkt. Hussein Mwinyi awe Rais Zanzibar amenifikishia Salamu zako.

Haya sasa kwa Faida yako, wana CCM hapo Lumumba na kule Zanzibar hadi wale waliopo hapa JamiiForums hizi ndizo Sababu zangu kwanini simkubali ambazo naomba ziheshimiwe kwani ni zangu binafsi kutokana na ninavyomfahamu lakini pia kupitia kwa Vyanzo vyangu Muhimu na vya karibu nae ambao wanamjua na wamefanya nae Kazi.

1. Ni Mnafiki sana.
2. Ana Upole usio na tija Kiutendaji
3. Ni Muongo kitu ambacho ni Hatari kwa Ustawi wa Nchini (Kisiwa )
4. Mbinafsi kuliko Maelezo
5. Mdini mno na wala hajifichi
6. Si mtoa Ushirikiano mzuri katika mambo ya Kimsingi
7. Ni mtengeneza Makundi kila mahala ambapo huwa anakuwepo Kiutendaji

Mzukulu naendelea Kusisitiza CCM mkimpitisha Dkt. Hussein Mwinyi Jumapili huko Kikaoni Dodoma mtakuwa mmefanya Kosa Kubwa na mtakuja kunikumbuka na kuukumbuka huu Uzi wangu. Mkimpitisha Profesa Makame Mbarawa Mnyaa au Shamsi Vuai Nahodha mtakuwa mmefanya Maamuzi sahihi. Na atakayeshinda kati ya hawa Wawili basi Mmoja wao awe ndiyo Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.

Sina Chuki naye ila kwa upande wa Urais Dkt. Hussein Mwinyi hafai kabisa.
Mke wake tu ni mkristo
 
Hahahaha
Kumbe kabadilo id huyu mwamba
[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5] ila uandishi ni uleule kweli aisee
Ndio yeye mpuuzi huyu mpiga ramli alichobadili tu ni kutoweka "quotation", POPOMA mkubwa huyu contents zake zile zile
 
Ukibadili ID ukumbuke na kubadili uandishi.
Yani kama hii psychology ndogo inakushinda ndo utaweza ku analyze wagombea wa Uraisi?
The GreatPopoma a.k. Gentamycine
 
Ule uliofanyika.ni mapendekezo wala sio mchujo kumbuka issue ya Bilal alipewa maksi za juu kufika huko akakatwa
 
Naunga mkono hoja ,Mwinyi azipewe maana baba halafu mtoto imekuwa Yemen hapa.
 
Huna hoja na hujui chochote kuhusu Mwinyi . Yaani unajisemea tu ni mnafiki ni mdini bila kueleza alifanya lipi lililokuaminisha kuwa ni mnafik au mdini? Hivi yupo Mtanzania au Muafrika ambaye sio mnafiki?
Kumbe umeona
 
sasa mmesema ni mkabila wakati inasemekana mkewe ni mkristo
 
Back
Top Bottom