Wapi huko eti
Pole ila usikae sana kimya.Kwakweli nimepotea sana uzee huu unasababisha nashindwa kuingia jf
Hapa Hapa Jijini...Wapi huko eti
Aibu unaona kumfata pm ila kumwanzishia thread huoni aibu
ππππShem saa moja kuna kagiza jamani!!
Viache basi pale nitavikujia kesho
Hawezi fanya hivyo mumu wanguAsije tu akalike comment za wewe babe wangu, badamu batamwagikaaππ
Hahaha sasa wewe si angenituma mimi tu nifikishe ujumbeSijui ni mimi?
Sawa jirani hakuna shidaHapa Hapa Jijini...
Ikiisha hii Corona mfanye wepesi ikiwezekana tumvute na huyo wa kanda ya kaskazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Thats absolutely good, stay at home, stay safe.It's fineπ ,am just at home chilling ,no kuzurura dah
Have a good day.
Ni muda wa mabaharia kufanya yetu π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you rafiki, stay safe tooπThats absolutely good, stay at home, stay safe.
Abiria chunga mzigo wako, niko makini dearHawezi fanya hivyo mumu wangu
πππ ,kumbe uliyekua unatafutwa ni wewe, kila rakheri quarantine ikiisha mrudi na mapacha hapaMnaweza kuacha comment sasa
Tumeshaji lockdown na bibie catluvie tayari.
Nyie vae Barakoa mtembee tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapendeza bebAbiria chunga mzigo wako, niko makini dear
hahahahahaMAGALLAH R usijifanye husikii basi
Hahaha sasa wewe si angenituma mimi tu nifikishe ujumbe