Wewe kaka wa JF njoo tujilockdown

Wewe kaka wa JF njoo tujilockdown

Si umfuate PM wewe mwenyewe madam.

Usisababishe watu wakaanza kukufuata huko PM kwa foleni isiyomithilika.

sent using Simenzi mayai
 
Hii ni ile style unafunga punje ya mhindi na kamba alafu unamtupia kuku huku umekamatia kamba,safi sana!

Karantiin ikiisha mwamba anakua kama jogoo alienyonyolewa manyoa yote yakabakizwa ya mkiani tu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji115][emoji115]Wenye avatar mbaya kama hii tukae pembeni. Ngoja nikanywe Sanitizer

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Back
Top Bottom