Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,880
- 2,110
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miezi ya kodi ishafika 😁😁😁maisha yamekuwa magumu anatafutwa mtu wa kubebeshwa mzigo, pambana na hali yako tu mkuu[emoji28]
20min ina 10k views balaaIlibid unitafute uku ili watu wapone
haina namna uku tunasikiliza viper la coronaView attachment 1423417
Sent using Jamii Forums mobile app
😜😜Wivu tu [emoji1787]
Siku 21 hata mwezi hauishiWe kuwa muwazi tu kama kodi ya miezi mi 3 ishaisha unatafuta hifadhi sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hatari sanaAmkeni amkeni, zimeanza kushuka bei, na nauli zinajilipia!
Zinin hizo Mkuu??Amkeni amkeni, zimeanza kushuka bei, na nauli zinajilipia!
Waulize wenyewe wanajuaSawa dada wa watu halafu naona watu wanaandika 7800 kwenye uzi wako inamaana gani...?????
Tupo kama ma ghost hapa[emoji23]Daah leo mashilawadu mna kazi ya kuangalia comments zote kujua nani kapata like ya mleta uzi[emoji23][emoji23]
Unforgetable
Nipo kufatilia kila comment nione itakayo laikiwa 😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni mimi babe aache kutuchosha amfate uko amwambie anavyompenda
Sio lugha nzuriAmkeni amkeni, zimeanza kushuka bei, na nauli zinajilipia!
Hahaha halafu uende kule nimeshapostNipo kufatilia kila comment nione itakayo laikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo pm yake amefungaSi umfuate PM wewe mwenyewe madam.
Usisababishe watu wakaanza kukufuata huko PM kwa foleni isiyomithilika.
sent using Simenzi mayai