Wewe wasemaaaa ? Kwahiyo pm zimefunguliwa?We kuwa muwazi tu kama kodi ya miezi mi 3 ishaisha unatafuta hifadhi sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana kipindi cha nyuma piemu zenu mlizipiga SOLEX
Kwa kipindi hiki ambacho tunaelekea kujilockdown kwa sababu ya gonjwa hili hatari
Namuomba huyu kaka aje pm tuzungumze namna ya kujilockdown kwa siku 21 hivi
Sifa za huyu kaka
1,Avatar yake ni nzuri inaeleweka
2,Jina lake hapa jf ni jina zuri mithili alivyo
3,Anacomment vizuri,hatukani,hatoi lugha za maudhi,anatoa ushauri mzuri
4,Anapenda kuchangia majukwa ya siasa na MMU na ana nyuzi chache sana
5,Comments zake nyingi anazifafanua kwa kisomi zaidi na hana mlengo mkali wa kisiasa,anamsopti jiwe na muda mwingine kumkosoa kupitia comments
Wewe kaka huwa nakuelewa sana,njoo Pm nitakufuata popote ulipo ili kujilockdown kwa siku 21 kama itapendeza
Wale ambao watataka kumfahamu,akisha comment nitalike comment yake,plz uje pm tuyajenge kipindi hiki cha #stay at home and lockdown#
Sent using Jamii Forums mobile app
Aache kujitesa bwanaDadaake, tafadhali punguza hiyo kabali ni kali mno.
Asant kwa kutukumbusha covid 19Msimu wa Corona bhana
Kuna mambo ni magumu sana kuyapata
Halafu kuna mambo ni rahisi sana kuyapata
Tafadhali mtanzania mwenzangu, usishikane mikono, nawa mikono mara kwa mara, funika mdomo wako unapopiga chafya/unapokohoa, vaa barakoa na kaa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazma zifunguliwe tu maana hamna namna πππ wachati wote wapo kwa wake zao sahivi!
Umetembelea pm ngapi ndugu mwenyekiti wa mabahariaππWe kuwa muwazi tu kama kodi ya miezi mi 3 ishaisha unatafuta hifadhi sasa.πππππ maana kipindi cha nyuma piemu zenu mlizipiga SOLEX
Hizo bahati sijui wanapataga wakina nani!!!Mm nikihitaji nakufata tu pm sitaki mambo mengi
[emoji23] mm mwenyewe natamani kujua wanapataga kina nani
Hebu acha hzo wewe Mdada [emoji23][emoji23][emoji23] mm mwenyewe natamani kujua wanapataga kina nani
DadaAcha udomo zege mfate pm umwambie haya au mtaje hapahapa ajijue
Abeeeh dadaDada
Hahaha