My hair my crown
JF-Expert Member
- Feb 5, 2016
- 898
- 2,478
Nipe jina nikupelekee ujumbe kama unaona aibu, [emoji23][emoji23][emoji23] ila sio bure utanipa 7800 tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe jina nikupelekee ujumbe kama unaona aibu, [emoji23][emoji23][emoji23] ila sio bure utanipa 7800 tuu.
Hapa sijaona aibu kwa kweliAibu unaona kumfata pm ila kumwanzishia thread huoni aibu
[emoji23]
Mkuu kuna watu tunafahamika kabisa hatuta na hatuwezi kuwa sisi maana kila siku tunavimbwanga[emoji28]
Kuwa na hizo sifa pale juu ni sawa na kumwambia papa mopao arudi ikulu dar[emoji12]
Akinipenda haitajalisha ana nani kwa muda huuHaha inaonekana umekufa umeoza! Pole na ngoja nikandie kabisa usikute sahivi ana kipapatio ambacho atakaanacho mpk korona iishe si tu siku 21[emoji23][emoji12]
nilikuwa nasikia unaniita, nimekuja😊😊💰
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni mimi babe aache kutuchosha amfate uko amwambie anavyompendaBabe ni wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]
Mkuu kuna watu tunafahamika kabisa hatuta na hatuwezi kuwa sisi maana kila siku tunavimbwanga[emoji28]
Kuwa na hizo sifa pale juu ni sawa na kumwambia papa mopao arudi ikulu dar[emoji12]
Wivu tu [emoji1787]Usikute mtu mwenyewe anaetafutwa anakorona[emoji28]
Tutabeba wotemaisha yamekuwa magumu anatafutwa mtu wa kubebeshwa mzigo, pambana na hali yako tu mkuu[emoji28]
Sawa dada wa watu halafu naona watu wanaandika 7800 kwenye uzi wako inamaana gani...?????
Hilo tu usjali kabisaNipe jina nikupelekee ujumbe kama unaona aibu, [emoji23][emoji23][emoji23] ila sio bure utanipa 7800 tuu.
Psychological unapima akili zetu, be brave brother,sKwa kipindi hiki ambacho tunaelekea kujilockdown kwa sababu ya gonjwa hili hatari
Namuomba huyu kaka aje pm tuzungumze namna ya kujilockdown kwa siku 21 hivi
Sifa za huyu kaka
1,Avatar yake ni nzuri inaeleweka
2,Jina lake hapa jf ni jina zuri mithili alivyo
3,Anacomment vizuri,hatukani,hatoi lugha za maudhi,anatoa ushauri mzuri
4,Anapenda kuchangia majukwa ya siasa na MMU na ana nyuzi chache sana
5,Comments zake nyingi anazifafanua kwa kisomi zaidi na hana mlengo mkali wa kisiasa,anamsopti jiwe na muda mwingine kumkosoa kupitia comments
Wewe kaka huwa nakuelewa sana,njoo Pm nitakufuata popote ulipo ili kujilockdown kwa siku 21 kama itapendeza
Wale ambao watataka kumfahamu,akisha comment nitalike comment yake,plz uje pm tuyajenge kipindi hiki cha #stay at home and lockdown#
Sent using Jamii Forums mobile app