Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna jipya ila uwezo wa akil ndio unapimwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kipindi hiki ambacho tunaelekea kujilockdown kwa sababu ya gonjwa hili hatari
Namuomba huyu kaka aje pm tuzungumze namna ya kujilockdown kwa siku 21 hivi
Sifa za huyu kaka
1,Avatar yake ni nzuri inaeleweka
2,Jina lake hapa jf ni jina zuri mithili alivyo
3,Anacomment vizuri,hatukani,hatoi lugha za maudhi,anatoa ushauri mzuri
4,Anapenda kuchangia majukwa ya siasa na MMU na ana nyuzi chache sana
5,Comments zake nyingi anazifafanua kwa kisomi zaidi na hana mlengo mkali wa kisiasa,anamsopti jiwe na muda mwingine kumkosoa kupitia comments
Wewe kaka huwa nakuelewa sana,njoo Pm nitakufuata popote ulipo ili kujilockdown kwa siku 21 kama itapendeza
Wale ambao watataka kumfahamu,akisha comment nitalike comment yake,plz uje pm tuyajenge kipindi hiki cha #stay at home and lockdown#
Sent using Jamii Forums mobile app
Domo zege la kike!
Tupo kama ma ghost hapa[emoji23]
Ngoja niwahi 🏃Hahaha halafu uende kule nimeshapost
Rafiki hunipendi kisa avatar mbaya?
Kumbe unajua na nahisi unaendana na avatar yakoRafiki hunipendi kisa avatar mbaya?
Mm nikihitaji nakufata tu pm sitaki mambo mengiMama ww huhitaji lockdown partner?[emoji4]
Dadaake, tafadhali punguza hiyo kabali ni kali mno.Acha udomo zege mfate pm umwambie haya au mtaje hapahapa ajijue
Uniite!!!! [emoji12]Nipo kufatilia kila comment nione itakayo laikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
barakoaZinin hizo Mkuu??