Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Sijambo dada hofu kwako tuNakusalimia tuu mimi jamani
Naona upo kwenye ubora wako kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijambo dada hofu kwako tuNakusalimia tuu mimi jamani
Hujambo lakiniii wewee
Mimi sijambo kabisaa jamani...Sijambo dada hofu kwako tu
Naona upo kwenye ubora wako kabisa
Sio mimiHujambo lakiniii wewee
Mimi sijambo kabisaa jamani...
Mimi napita tuu nikaona nikusalimie jamani!
Halafu weweeeSio mimi
Hatujambo mkuu, waionaje khali
😀😀😀Thats me obvious, karibu!!! Sema usipokua mzuri utanilipa hela ya usumbufu.
Ilibid unitafute uku ili watu wapone
haina namna uku tunasikiliza viper la coronaView attachment 1423417
Sent using Jamii Forums mobile app
Shikamoo shemeji.Halafu weweee
Sijui nikununiee, ila sijawahi kununa!
Shkamoo
Even God loves beauties.Kwa kipindi hiki ambacho tunaelekea kujilockdown kwa sababu ya gonjwa hili hatari
Namuomba huyu kaka aje pm tuzungumze namna ya kujilockdown kwa siku 21 hivi
Sifa za huyu kaka
1,Avatar yake ni nzuri inaeleweka
2,Jina lake hapa jf ni jina zuri mithili alivyo
3,Anacomment vizuri,hatukani,hatoi lugha za maudhi,anatoa ushauri mzuri
4,Anapenda kuchangia majukwa ya siasa na MMU na ana nyuzi chache sana
5,Comments zake nyingi anazifafanua kwa kisomi zaidi na hana mlengo mkali wa kisiasa,anamsopti jiwe na muda mwingine kumkosoa kupitia comments
Wewe kaka huwa nakuelewa sana,njoo Pm nitakufuata popote ulipo ili kujilockdown kwa siku 21 kama itapendeza
Wale ambao watataka kumfahamu,akisha comment nitalike comment yake,plz uje pm tuyajenge kipindi hiki cha #stay at home and lockdown#
Sent using Jamii Forums mobile app
😅 😅Nipo kufatilia kila comment nione itakayo laikiwa 😂😂😂😂
bfhdxjdnz jsjdjfjfnsk iwwkejbdx🙏🙏🙏😀😀
kahshsu wmanabba gajay hwfada yxakahatak, xahaga uahaba..??
Asije tu akalike comment za wewe babe wangu, badamu batamwagikaa😀😀Miezi ya kodi ishafika 😁😁😁
Mimi ni mzima nilikutafuta sikukupata kabisaHujambo lakiniii wewee
Marahaba shem...Shikamoo shemeji.
Na kwanini uninunie lakini, Mungu hapendi.