Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Yaani kuna vitu hata haviingii akilini ujue[emoji134][emoji134][emoji134]Wanatushirikisha maupuuzi yasiyotuhusu. Kimsingi thread haina umuhimu wowote hapa kujaza server tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kuna vitu hata haviingii akilini ujue[emoji134][emoji134][emoji134]Wanatushirikisha maupuuzi yasiyotuhusu. Kimsingi thread haina umuhimu wowote hapa kujaza server tu
I wish too😂😂😂😂Natamani siku melo ajisahau yeye pamoja na watenda kazi wake,halafu pm ziwe zinajipost zenyewe jomoniii😊
Hahahaaaaaaa!!! Haki umenichekesha, nimecheka kama chizi peke yangu.We kaka uliyekimbiwa usikubali nakwambia njoo hapa utupe ushuhuda otherwise hiii ni chai tena ya maji ya chumvi isiyo hata na viungo.
Jichanganye ukutane na wajuba uone mziki wake..
Kuna tatizo kati yao mtoa bandiko na aliezungumziwa humu kama ni true storyMariana unaniangusha, hivi kwa akili za kawaida tu mwanaume sio ndugu yako wala baba yako akutumie nauli utoke Mwanza kuja Dar kupiga story? Au wenzetu mnaishi dunia gani maana mie naona kama nipo Pluto.
Wanaume gani kwanza mnawaongelea labda tuanzie hapo.
Mariana unaniangusha, hivi kwa akili za kawaida tu mwanaume sio ndugu yako wala baba yako akutumie nauli utoke Mwanza kuja Dar kupiga story? Au wenzetu mnaishi dunia gani maana mie naona kama nipo Pluto.
Wanaume gani kwanza mnawaongelea labda tuanzie hapo.
Au kwa lugha nyepesi, yeye kudinywa na stranger sio ishu kiviiile.... Ili mradi wapime ngoma tu baaas....Nipo upande wa huyo kaka kwa jambo moja tu...kukataa kupima
cutelove kupima sio jambo dogo eti,bora ingekuwa kupima malaria basi
Sawa pacha,.naomba tufunge 3 kavu kabisaa..😂I wish too😂😂😂😂
Tukazie maombi yetu
Hakuna mkate mgum mbele ya chai Marianah, ukiandaa mazingira ya kuliwa utaliwa tu kwahyo muwe mnajua kukwepa haya mazingiraAh wapi mie mwenyewe mafia hapa
Aliekuambia huyo binti ni nanii??Una umri gani wewe binti? Kwamba unakuwa na mahusiano na mwanaume ila hujui anachokitaka kwako?
Hata mtoto wa la pili analijua hilo.
Ah wapi mie mwenyewe mafia hapa
Hivi bado kuna urafiki wa kaka dada miaka hii...!!!Ni fundisho kwa wale wanaume ambao unakuwa naye kwenye mahusiano bila kukwambia wanataka mahusiano ya kimapenzi
Mh ebu niambie ni naniIna maana hujaunganisha code ujue ni nani huyo?
Hebu wajifunze mambo yao ya huko nje wayamalizage huko huko. Lasivyo kama wameamua kujitoa akili basi wawe wanatushirikisha tangu hatua za awali kabisa ili twende sambamba.
ni wivu tu na pua lakoMtoa mada alikuwa hajawai kufika Dar akaona bora atake opportunity[emoji23][emoji23]
Ngoja nimsaidie mtoa mada itakua alichukulia longtime relationship ndomana hakutaka kuvuliwa chupi kwa style hii lkn mlengwa alitaka one night stand