Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Ila dada au ulikuwa haujawahi kwenda Dar ndo ukataka uende ukapaone kwa mara ya kwanza kupitia gharama za huyo kaka? Sikulaumu maana watu wengi sana wa mikoani hasa wanaume wanatamani sana kwenda Dar maana Dar ndiyo Tanzania

Yaani wanawaonea wivu sana watu wanaoishi Dar mkoa wenye heshima zake wanavyofaidi mazuri ya ule mkoa ndiyo maana hadi wanakuja na kauli kama wanaume wa Dar sijui nini nawaelewa sana hawana lolote ni wivu tu! Hehehehe
Kwa mwaka huu nimepanda mara 38 hivi
 
Au kwa lugha nyepesi, yeye kudinywa na stranger sio ishu kiviiile.... Ili mradi wapime ngoma tu baaas....

Yaani condom tupa kule...
Ndicho nilichoelewa pia.
Alikuwa tayari kwa tukio ila tu wapime kwanza.
 
Tangu dunia inaanza hakuwahi kuwepo mwanaume wa ivo...mwenyew nawaza sipati majibu, Yaani utadhani kaka yake ndo kamtumia nauli akamwangalizie nyumba
 
Kama lengo lake lilikuwa hilo basi alipaswa kuwa makini sana. Mtu mmekutana mtandaoni,hamfahamiani, mmechat kidogo tu, akakuonyesha nia yake mapema kabisa, bado unasafiri kumfuata halafu unashangaa yeye kutaka hicho alichoonyesha nia nacho mapema tu?

Ila shida haikua kwenye kutoa naniliu huyu amepata ukakasi sababu jamaa amekataa kupima inamaana angekubali wangekua kwenye stage nyingine yakulana bila kuringiana
 
Yaani hata kama atazuga siku ya kwanza ila lengo lake ni hilo tu. Atajifanya kupotezea ila moyoni anaplan zake.
Tangu dunia inaanza hakuwahi kuwepo mwanaume wa ivo...mwenyew nawaza sipati majibu, Yaani utadhani kaka yake ndo kamtumia nauli akamwangalizie nyumba
 
.Mimi mara zote ni simba mwenda pole! Sina papara asilani.
 
Ngoja nimsaidie mtoa mada itakua alichukulia longtime relationship ndomana hakutaka kuvuliwa chupi kwa style hii lkn mlengwa alitaka one night stand
Hilo hata mimi nimeliona, jamaa alikua anataka kupita tu,
Ila binti alikua anahitaji mahusiano ya kudumu hapo ndipo walipotofautiana

Kama ana BIKRA japo moja mimi naweza kumuoa mleta mada kabisa
 
Mtabiriiii. ..hahaa. . i guess drama zitaendelea I believe mlengwa hawezi kaa kimya lazima atajibu tuhuma tu let's wait and see. .



Cc Smart911
Thread ifungweee. Kaka umemaliza kila kitu

Mara paap kaka aliyekimbiwa anakuja na I'd mpya anaanza kutoa shit juu ya mtoa mada[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…