Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Hujakutana na dr benji...yeye anavipimo vyote kwe gari kuanzia cha ukimwi, homa ya inI hadi malaria...huyo atakua nyuki tu ndo anaharaka ah ah MC,MC gonga mezaa
 
Dah nicheki turudi wote mean a Niko NA private car
 
We dada kilichokufanya utoke mwanza mpaka dar hasa ni nini! Unafanya biashara au inakuwaje, na je Kama ungekubali kupima na kukutwa mpo salama wote mngetiana alafu inakuwaje embu malizia season basi
 

Ya PM malizaneni PM.

Ukileta ya PM hapa, hata ya kitandani ndani ya ndoa utaleta hapa pia.
 
Sio bwege ni baharia, ubaharia una gharama zake za hapa na pale...
Vipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.
 
Kwahiyo unasafiri toka mwanza kuja dar umuone mtu?huko whtsap hamkutumiana picha?

Ww ulikuwa tayari kutoa papa baada ya cku ngap tangu ufike dar?

Ndio maana siku hizi hata mtu akija PM nashindwa kuongea vzr ID nyingi zipo kwa ajili ya kuchorana tu
Ndo maana ulinichunia pm yangu eeehh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…