Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Tutajuaje kuwa kuna wachuchu wanatongozeka na kumegeka kizembe zembe...

Acha waweke hapa tuwajue, imeisha hiyo!!!
Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
 
Ndicho nilichoelewa pia.
Alikuwa tayari kwa tukio ila tu wapime kwanza.
Yaani kabisa nikutumie nauli toka Mwanza mpaka Dar tuje kupiga stori?? Na wewe unapanda kabisa basi ukijua unaenda kupiga stori?? ... Labda huyo mwanaume awe na sifa kama za Yesu...

Lakini hata hivyo tunamwonea bure mleta mada. Yeye alishajua kabisa anaenda kudinywa tatizo mdinyaji kasusa kupima umeme...

Wanawake bhana... tuseme baadhi ya wanawake mwalimu wao wanamjua mwenyewe
 
Sasa ww ulitaka usafiri 900km uende kumsalimie tu?..hamna haja ya kumfuata mtu wa jinsia tofauti umbali huo km huna hisia nae la sivyo inakuwa ni njaa tu.

Mtakuja kunyongwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We mwenyewe fala,humjui hakujui,tena kufahamiana ni humu jf.Biede biede unavibeba vimatako vyako unaenda kukutana na mtu Dar,ingekuwa hapo Mwabuki au Misungwi walau,Dar kabisa?Ungetafunwa tu tena peku ili utie akili.Halafu unajisifu eti papara za "me".Umewamaliza wa Royal Pub/Kahungwa/Shinyanga quest ukaona uwapate wa Dar.Kicheche mkubwa we wa Mabatini na Makoroboi.

Halafu jamaa nalo kenge kweli,ameshindwa kuwawakilishi vyema wala chips/mahindi na pilipili wa dar kweli?Shame on him!!

Wanawake wa Sampuli hii mnawaaibisha wanawake wenzenu wanaojitambua na wenye akili,hivi mnakwama wapi?
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa

Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza

Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi

Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida

Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali

Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio

Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim

Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
 
Mungu aendelee kuwabariki na awakinge na wale wadada wa humu ambao wanatamani uhusiano wenu uyeyuke kama barafu...

Siku ya mchango msisahau kunipatia kadi..

Tafadhali namimi nipewe kabisaa more than willing to contribute.
 
Yaani kabisa nikutumie nauli toka Mwanza mpaka Dar tuje kupiga stori?? Na wewe unapanda kabisa basi ukijua unaenda kupiga stori?? ... Labda huyo mwanaume awe na sifa kama za Yesu...

Lakini hata hivyo tunamwonea bure mleta mada. Yeye alishajua kabisa anaenda kudinywa tatizo mdinyaji kasusa kupima umeme...

Wanawake bhana... tuseme baadhi ya wanawake mwalimu wao wanamjua mwenyewe
Si lazima tuduu, tunaweza kwenda home na tuchill tuuu [emoji443][emoji444][emoji445]

Mie naimba tu babu.
 
cutelove,
Lakini umesema alikuwa anakuomba mlale pamoja na sio mfanye mapenzi. Ilikuwaje mpaka ukawaza kuwa una allergy na condom ?
 
Back
Top Bottom