Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Ndo maana ulinichunia pm yangu eeehh
Yaani kabisa nikutumie nauli toka Mwanza mpaka Dar tuje kupiga stori?? Na wewe unapanda kabisa basi ukijua unaenda kupiga stori?? ... Labda huyo mwanaume awe na sifa kama za Yesu...Ndicho nilichoelewa pia.
Alikuwa tayari kwa tukio ila tu wapime kwanza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ww ulitaka usafiri 900km uende kumsalimie tu?..hamna haja ya kumfuata mtu wa jinsia tofauti umbali huo km huna hisia nae la sivyo inakuwa ni njaa tu.
Mtakuja kunyongwa
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa
Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza
Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi
Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida
Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali
Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio
Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Mungu aendelee kuwabariki na awakinge na wale wadada wa humu ambao wanatamani uhusiano wenu uyeyuke kama barafu...
Siku ya mchango msisahau kunipatia kadi..
Si lazima tuduu, tunaweza kwenda home na tuchill tuuu [emoji443][emoji444][emoji445]Yaani kabisa nikutumie nauli toka Mwanza mpaka Dar tuje kupiga stori?? Na wewe unapanda kabisa basi ukijua unaenda kupiga stori?? ... Labda huyo mwanaume awe na sifa kama za Yesu...
Lakini hata hivyo tunamwonea bure mleta mada. Yeye alishajua kabisa anaenda kudinywa tatizo mdinyaji kasusa kupima umeme...
Wanawake bhana... tuseme baadhi ya wanawake mwalimu wao wanamjua mwenyewe
Afadhali umenisaidia kuliongea hili......!!!!Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Haha ! Amekuwa chakula kumbe mpaka aliwe.Omba Mungu asije na picha yako kuthibitisha kama umeliwa maana hawa viumbe nimewaogopa
Mbona hukunijibuMm huwa najibu pm zote
Natamani siku melo ajisahau yeye pamoja na watenda kazi wake,halafu pm ziwe zinajipost zenyewe jomoniii[emoji4]
Kama hauko tayari kutoa mzigo, nenda kwa gharama zako.Pole sana dear. Wanaume wanadhani ukienda kwake basi umeshamkubali kabisa na uko tayari kumpa kila kitu.