Unitag ukiupata huo uzi mkuuNani alikimbia [emoji16][emoji16]
Na sisi tutajadili vimiguu vyako vileππππ na mpua wako kama wangu[emoji23].mimi hata ukinipost haina madhara waga sijipaishi kiivyo
Haha ! Amekuwa chakula kumbe mpaka aliwe.
Nakumbuka vizuri. Ulistaajabu nilichoandika na kusema was my opinion, ila i'm glad it's now your opinion as well.Mkuu ulisema earlier ukiumbwa ke kataaa ukubali utaliwa tu
Akijibu hili nitagHalafu siku nyengine utakuja kufa kizembe boya we mtu katoka kungonoka jana kachukua magonjwa huko ww leo unamwambia twende tukapime anakubali mnapima anaonekana mzima unaenda mpa nyama kwa nyama baada ya muda ndio utakuja elewa hiyo mivipimo yenu sio!
Na aliyeniroga hata sijui kafia mtaa gani,.loh!!!Ahahahah umerogwah wewe....!!!!
Nakumbuka vizuri. Ulistaajabu nilichoandika na kusema was my opinion, ila i'm glad it's now your opinion as well.
Unitag ukiupata huo uzi mkuu
Mbona hukunijibu
AhahahahahahahahDaah siamini kama umenikimbia hivyo, rudi basi.[emoji3]
Niliwaza kama wewe, me sio mchangiaji kivile ila ngoja nikuunge mkono, huwa nawaza sana kwa upande huu, maana dr aliwahi kusema urudi baada ya miez 3 nikarudi...sijui kama wanaendeleaga kurudi baada ya miezi 3 au wamegundua vipimo ambavyo ukilala na mtu jana leo vipimo vinaonesha, wataalamu wa afya wanielimishe najua wanapitia huu uziHalafu siku nyengine utakuja kufa kizembe boya we mtu katoka kungonoka jana kachukua magonjwa huko ww leo unamwambia twende tukapime anakubali mnapima anaonekana mzima unaenda mpa nyama kwa nyama baada ya muda ndio utakuja elewa hiyo mivipimo yenu sio!
Tatizo utoto na ushambaHivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread