ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,197
Hahhaha kwahiyo akaja Pm ukaona pitia comments zake na post zake ukapima kabisa ukaona huyu atakuwa na maisha flani mazuri maana michango yake ipo kwenye watumia magari tu mkahamia what's up namba na kila kitu mwishowe ndo kafeli kijinga hivo?????
Ila kuna watu majasiri mi kutongoza mtu nisiyemjua siwezi niliacha form 4...
Ila kuna watu majasiri mi kutongoza mtu nisiyemjua siwezi niliacha form 4...