Uyo mwanaume akakate uume, katudhalilisha sana ndo maana wanawaita wanaume wa dar.
kazidiwa ujanja na msukuma wa mwanza, yaani hainingii akilini, dem atoke mwanza, afu na mzgo nisile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Wakati kuna demu wa chuo, akiwa anarudi chuon atapita dar ale ukuni na kwa nauli yake, lbda nkimfkilia ya kurudi, shwaini, yaaani kama anasoma message ajue kakosea sana
wewe noma sana mkuuDaah siamini kama umenikimbia hivyo, rudi basi.[emoji3]
You ain't good in explanations huh?
Weka wazi amekutumia kiasi gani?Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa
Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza
Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi
Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida
Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali
Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio
Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Siku niliyoamua kupima sijui ule ujasiri ulitoka wapi ila nilijikuta nimefikia maamuzi nikaenda Magomen hosptal nikawaambia nimekuja kupima. It was November last year. Baada ya kupima nikarudi kuperuzi Jf wakati nasubiri majibu huku niko comfortable kabisa na hata nilipoitwa kufuata majibu nilikuw normal kabisa ingawa historia yangu ya huko nyuma haikuwa poa sana. Asante Mungu kuwa niko safe na nimepima tena this year Palestina Sinza.Nipo upande wa huyo kaka kwa jambo moja tu...kukataa kupima
cutelove kupima sio jambo dogo eti,bora ingekuwa kupima malaria basi
Wakikua wataacha sisterHivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
wewe ni dada ambae unaelewa mambo, nakupenda bureNipo upande wa huyo kaka kwa jambo moja tu...kukataa kupima
cutelove kupima sio jambo dogo eti,bora ingekuwa kupima malaria basi
I think next time my dear sister if this is true, here is what you should do, invite that person to your area, thats in this case invite him to mwanza, dont think one can send you fare from mwanza to dar and you think he is coming to just have a mere talk with you, in short USE WISDOM, all the best dearKuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa
Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza
Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi
Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida
Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubalie the person in your area, innza, dont think you can get fare from somer to mw this case invite that
Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio
Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Mimi situmi nauli NGO, nawambia mrembo anunue ticket kwa hela yake akija namurudishia na pia nampa ya kurudi na ingine atafungua biashara, hii mambo ya kutuma nauli kwanza niligoma kitambo mkuuUngejiongeza ona sasa nauli inaharibika buree mwisho wa siku tutapata thread za wale wanaume tuliotuma nauli madem wakaingia mitini
[emoji23][emoji23][emoji23]Imagine wewe ndo uje huku Mwanza eti nikuache, aaahfhhhghh walahi NAKUBAKA pale Nyegezi kwa nyuma.
Good Girl.Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa
Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza
Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi
Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida
Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali
Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio
Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Yaani nimecheka sana mpaka basi sina mbavuKunawakati ule utafiti wa katika kila watanzania 4 basi watatu vichaa naumini
Watu kujifunua au kufunua wengine nadhani nikichaa tu.
Sio Mantiki watu
-watongozane kwa siri
-wakubariane kwa siri
-wakutane kwa siri
Halafu siku, mmoja anaibuka mitandaooni au mtaani, au mikutanoni au maharusini anasimulia yale waliyotenda sirini.....nikichaa
Mtiririko wote hamkushirikisha Jamii mkafanya sirini..... yanapowashinda please yaacheni hukohuko sirini.
Kuyaleta balazani
1. Kujidhalilisha, unajiaanika na kujitoa utu wako. Hutaaminika tena kwenye jamii
2. Unadhalilisha waliokuzunguuka
3. Unamdhalilisha mwenzako bila sababu
Hakuna tija zaidi ya fedheha kwa wote. Unaweza Dhani unamkomesha mwenzako ke/me kumbe wapi .... wote wataanza kukudharau wewe kisha watamdharau mwenzako.
Ya sirini hubakia sirini na endapo kila mmoja akaamua kutapika hapa situtabakia vinywa wazi.
Shemales
Gays
Sales
Thieves
Etc
πππππππππΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ
Uyo mwanaume akakate uume, katudhalilisha sana ndo maana wanawaita wanaume wa dar.
kazidiwa ujanja na msukuma wa mwanza, yaani hainingii akilini, dem atoke mwanza, afu na mzgo nisile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Wakati kuna demu wa chuo, akiwa anarudi chuon atapita dar ale ukuni na kwa nauli yake, lbda nkimfkilia ya kurudi, shwaini, yaaani kama anasoma message ajue kakosea sana
Hahahaha hahahah dah[emoji13]Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa
Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza
Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi
Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida
Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali
Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio
Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Siku niliyoamua kupima sijui ule ujasiri ulitoka wapi ila nilijikuta nimefikia maamuzi nikaenda Magomen hosptal nikawaambia nimekuja kupima. It was November last year. Baada ya kupima nikarudi kuperuzi Jf wakati nasubiri majibu huku niko comfortable kabisa na hata nilipoitwa kufuata majibu nilikuw normal kabisa ingawa historia yangu ya huko nyuma haikuwa poa sana. Asante Mungu kuwa niko safe na nimepima tena this year Palestina Sinza.
Kitu ambacho nimegundua ni kuwa siku hizi wapimaji wa UKIMWI hawatoi tena ule ushauri nasaha kabla na baada ya kupima. Yaani kwenda kupima ngoma haina tofauti na kwenda kupima Malaria