Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Uyo mwanaume akakate uume, katudhalilisha sana ndo maana wanawaita wanaume wa dar.

kazidiwa ujanja na msukuma wa mwanza, yaani hainingii akilini, dem atoke mwanza, afu na mzgo nisile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

Wakati kuna demu wa chuo, akiwa anarudi chuon atapita dar ale ukuni na kwa nauli yake, lbda nkimfkilia ya kurudi, shwaini, yaaani kama anasoma message ajue kakosea sana

Daaah we jamaa wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa

Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza

Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi

Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida

Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali

Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio

Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim

Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Weka wazi amekutumia kiasi gani?
Wasiwasi wangu ni kuwa huenda hiyo ni ID fake ukute dume ametumiwa nauli akaenda kuhonga bar
 
Nipo upande wa huyo kaka kwa jambo moja tu...kukataa kupima

cutelove kupima sio jambo dogo eti,bora ingekuwa kupima malaria basi
Siku niliyoamua kupima sijui ule ujasiri ulitoka wapi ila nilijikuta nimefikia maamuzi nikaenda Magomen hosptal nikawaambia nimekuja kupima. It was November last year. Baada ya kupima nikarudi kuperuzi Jf wakati nasubiri majibu huku niko comfortable kabisa na hata nilipoitwa kufuata majibu nilikuw normal kabisa ingawa historia yangu ya huko nyuma haikuwa poa sana. Asante Mungu kuwa niko safe na nimepima tena this year Palestina Sinza.
Kitu ambacho nimegundua ni kuwa siku hizi wapimaji wa UKIMWI hawatoi tena ule ushauri nasaha kabla na baada ya kupima. Yaani kwenda kupima ngoma haina tofauti na kwenda kupima Malaria
 
Mama cutelove kama bado upo jijini hapa chukua uber uje hawa Hawaii, tupge stori mbili tatu. Sitokuwa na papara kama hyo boya, na naagiza upaja mzima wa mbuzi ukifika mambo swaafi kabisa.

Hatuwezi waacha watoto wazuri wateseke tutawagharimikia kila kitu hata nauli tena ticket ya ndege warudi kwao salama.
 
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa

Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza

Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi

Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida

Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubalie the person in your area, innza, dont think you can get fare from somer to mw this case invite that

Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio

Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim

Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
I think next time my dear sister if this is true, here is what you should do, invite that person to your area, thats in this case invite him to mwanza, dont think one can send you fare from mwanza to dar and you think he is coming to just have a mere talk with you, in short USE WISDOM, all the best dear
 
Ungejiongeza ona sasa nauli inaharibika buree mwisho wa siku tutapata thread za wale wanaume tuliotuma nauli madem wakaingia mitini
Mimi situmi nauli NGO, nawambia mrembo anunue ticket kwa hela yake akija namurudishia na pia nampa ya kurudi na ingine atafungua biashara, hii mambo ya kutuma nauli kwanza niligoma kitambo mkuu
 
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa

Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza

Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi

Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida

Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali

Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio

Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim

Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Good Girl.
 
Kunawakati ule utafiti wa katika kila watanzania 4 basi watatu vichaa naumini

Watu kujifunua au kufunua wengine nadhani nikichaa tu.

Sio Mantiki watu
-watongozane kwa siri
-wakubariane kwa siri
-wakutane kwa siri
Halafu siku, mmoja anaibuka mitandaooni au mtaani, au mikutanoni au maharusini anasimulia yale waliyotenda sirini.....nikichaa

Mtiririko wote hamkushirikisha Jamii mkafanya sirini..... yanapowashinda please yaacheni hukohuko sirini.

Kuyaleta balazani
1. Kujidhalilisha, unajiaanika na kujitoa utu wako. Hutaaminika tena kwenye jamii

2. Unadhalilisha waliokuzunguuka

3. Unamdhalilisha mwenzako bila sababu

Hakuna tija zaidi ya fedheha kwa wote. Unaweza Dhani unamkomesha mwenzako ke/me kumbe wapi .... wote wataanza kukudharau wewe kisha watamdharau mwenzako.

Ya sirini hubakia sirini na endapo kila mmoja akaamua kutapika hapa situtabakia vinywa wazi.
Shemales
Gays
Sales
Thieves
Etc
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
Yaani nimecheka sana mpaka basi sina mbavu
 
Uyo mwanaume akakate uume, katudhalilisha sana ndo maana wanawaita wanaume wa dar.

kazidiwa ujanja na msukuma wa mwanza, yaani hainingii akilini, dem atoke mwanza, afu na mzgo nisile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

Wakati kuna demu wa chuo, akiwa anarudi chuon atapita dar ale ukuni na kwa nauli yake, lbda nkimfkilia ya kurudi, shwaini, yaaani kama anasoma message ajue kakosea sana

Naona umemchana live mkuu
 
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa

Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza

Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi

Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida

Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali

Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio

Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim

Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Hahahaha hahahah dah[emoji13]
 
Na mimi nakuja PM unaporudi Mwanza upitie Moro upate mapumziko kidogo tukatembee tembee Udzungwa na Mikumi[emoji4]
 
Siku niliyoamua kupima sijui ule ujasiri ulitoka wapi ila nilijikuta nimefikia maamuzi nikaenda Magomen hosptal nikawaambia nimekuja kupima. It was November last year. Baada ya kupima nikarudi kuperuzi Jf wakati nasubiri majibu huku niko comfortable kabisa na hata nilipoitwa kufuata majibu nilikuw normal kabisa ingawa historia yangu ya huko nyuma haikuwa poa sana. Asante Mungu kuwa niko safe na nimepima tena this year Palestina Sinza.
Kitu ambacho nimegundua ni kuwa siku hizi wapimaji wa UKIMWI hawatoi tena ule ushauri nasaha kabla na baada ya kupima. Yaani kwenda kupima ngoma haina tofauti na kwenda kupima Malaria

Hongera mkuu,mie nitakuja kupima nikifika muda wa kuamua kupata mtoto
 
Back
Top Bottom