Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Hivi humu ndani kumbe kuna watu huwa mnapata nafasi mnaona dah watu anonymous how can you trust each other...what if unaweka appointment na dada yako mama yako nk humu kuna watu wengi sana tofauti tofauti
 
Hivi humu ndani kumbe kuna watu huwa mnapata nafasi mnaona dah watu anonymous how can you trust each other...what if unaweka appointment na dada yako mama yako nk humu kuna watu wengi sana tofauti tofauti
Shkamoo
 
😂😂😂😂 Amejaa gesi
 
Huyo atakuwa kijana wa kiume na mwanaume! Unalipaje nauli ndefu kabla ya uhakika? Wenzie hata elfu tano ya nauli hatutumi kabla ya kuwa na uhakika
 
Mweh unaweza fika huko usipewe ya kurudi ikabidi uchanje mbuga kwa miguu, tumalizane kabisaaaa
[emoji16][emoji16]huko ndio kujiongeza sasa nimekuelewa, lakini asipokupa si mnaunganisha undugu maisha yanaendelea full minogesho
 
Aisee hivi watu wa aina hii wapo, mi ngekulipia chumba ungelala, usiku ningekuomba twende nikakuonyeshe jiji mitaa ya Masaki, ningekupiga savvana kadhaa zile huwa zinaenda chiini mpja kwa moja najua ungelowa. Mida ya saa nane ningekurudisha hotel na ningekudinya bila hata kukuomba idiot wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…