Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Hivi humu ndani kumbe kuna watu huwa mnapata nafasi mnaona dah watu anonymous how can you trust each other...what if unaweka appointment na dada yako mama yako nk humu kuna watu wengi sana tofauti tofauti
 
Hivi humu ndani kumbe kuna watu huwa mnapata nafasi mnaona dah watu anonymous how can you trust each other...what if unaweka appointment na dada yako mama yako nk humu kuna watu wengi sana tofauti tofauti
Shkamoo
 
Tulia mama, tatizo umejaa gesi bila hata kunielewa! Kwenye comment yako umesema "wanaume wanadhani ukishaenda kwake ndio umeshamkubalia"

Sasa mimi kukuuliza hivyo niliimanisha unapokuja kwangu ni obvious unakuwa umeshakubali kuwa na mimi na kinachokuleta ni banjuana tu wala sio kushangaa shangaa au stori tena.
😂😂😂😂 Amejaa gesi
 
Huyo atakuwa kijana wa kiume na mwanaume! Unalipaje nauli ndefu kabla ya uhakika? Wenzie hata elfu tano ya nauli hatutumi kabla ya kuwa na uhakika
 
Mweh unaweza fika huko usipewe ya kurudi ikabidi uchanje mbuga kwa miguu, tumalizane kabisaaaa
[emoji16][emoji16]huko ndio kujiongeza sasa nimekuelewa, lakini asipokupa si mnaunganisha undugu maisha yanaendelea full minogesho
 
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa

Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza

Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi

Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida

Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali

Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio

Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim

Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Aisee hivi watu wa aina hii wapo, mi ngekulipia chumba ungelala, usiku ningekuomba twende nikakuonyeshe jiji mitaa ya Masaki, ningekupiga savvana kadhaa zile huwa zinaenda chiini mpja kwa moja najua ungelowa. Mida ya saa nane ningekurudisha hotel na ningekudinya bila hata kukuomba idiot wewe.
 
Back
Top Bottom