Subiri akuchanganye na kwenye HIVAlinichanganya na mbinu zake
Wapo wengi sana wanaotuma.Vipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.
Una akili sana, tatizo lako ni ufupi tu.Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Hahahha: atakuwa anasema uongo
Sasa unaenda kufanyaje? Ni mdogo wako huyo useme utaenda kujadili nae namna ya kumlipia ada? Mambo mengine ni kujiongeza tu kidogo lasivyo mtaishia kutulaumu yani nigharamike uje unipigishe storyPole sana dear. Wanaume wanadhani ukienda kwake basi umeshamkubali kabisa na uko tayari kumpa kila kitu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Niacheee na ufupi wangu mwenyewe naupendaUna akili sana, tatizo lako ni ufupi tu.
[emoji38][emoji38][emoji38] na hata tukinyimwaga tunasema tumekula ila ukweli ndani kwa ndani
Ukiona mtu anaogopa sana kupima basi ana michezo mingi ya hatari anachezaga.Kwani mimi nina anti virus troublemaker?
Kwa hiyo kale kampango sasa[emoji848]Hapo ndo pamekuwa pagumu hadi nimekimbia
Hivi nyie kila siku mnasema wanawake wa siku hizi warahisi sana.Sasa unaenda kufanyaje? Ni mdogo wako huyo useme utaenda kujadili nae namna ya kumlipia ada? Mambo mengine ni kujiongeza tu kidogo lasivyo mtaishia kutulaumu yani nigharamike uje unipigishe story